Daraja Makofia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 695
- 905
Bashite at work...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa wewe...Msanii MTU wa kawaida tuu...wanatekwa machezaji na familia zao majuu uko sembuse bongo bhanaaa...
Anataka wasimuite Bashite mtabiriKiki ya kupanga matokeo?
Mkuu ukijibiwa maswali yakoNini maana ya haya yote polisi si walikana kuhusika? Tunataka kuwajua waliomteka na hatua gani zitafuata baada ya hao watu kupatikana
Hawa hawana lolote mbona swala la Ben wamekaa kimya wasilivalie njuga.Wamemuogopa Tundu Lissu maana amesema analivalia njuga
Lisu+Kibatala ni kiboko ya maharamia!
Unaumwa weweMgonjwa wewe...
hivi mmelishwa karanga za moto!
mbona kila tukio in dar ni bashite bashite! akha! asingesema chochote napo sijui mngesemaje kuna watu humu mnahukumu mtu hata uthibitisho hakuna! haya mambo naanza kuyaangalia upande wapili sasa...
Ngumu hiyo .usisahau watadaiwa wamlete Ben SaananeTaarifa ya polisi itakuwa hivi :Tulimuhifadhi msanii roma pamoja na mwenzake, kwani tuliofia usalama wake baada ya kuwa anafatiliwa na waahalifu waliotaka kumfanyia uovu.
Hujateka lkn unajua siku mateka atapatikana!Hivi kinana amerudi kutoka alipoagizwa kwenye matibabu kwa siku 14?!Duh,wamuache tu hata kama ana sifuri na feki fekiMakonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Bundle la kwakoSipangiwi
Bashite nimtuhumiwa namba mojaWhat about Ben Saa Nane jamani.
Wajaribu kuvaa viatu vya wazazi ndugu na jamaa zake wako ktk Hali gani mpaka sasa?
Serikali vyama vya siasa mashirika ya utetezi vyombo vya ulinzi na usalama tafadhali tusaidieni kumpata Ben na wengine wasio na majina wanaoendelea kutoweka
Kwanza wamlete na Ben Saanane alafu hatua za kisheria zichukue mkondo wake .Walikua wanajua aliko! Tunataka kujua akinanani? Waliyomteka? na kwa agizo la Nani? Iliwachukuliwe hatua!
Hivi wewe kwa akili tu za kuzaliwa, makonda amkamate roma kwa lipi? Mangapi makonda katukanwa?? Mmeanza kwenye vyeti mpaka video da kejeli mkatumiana, makonda alihangaika na nyie? Mbona mnamtafuta hivyo? Aliwakosea nini? Acheni mambo ya kizamani nyie, wivu wenu na chuki zisizo na sababu hazitawapeleka kokoteMsiofikiri kwa kutumia vichwa asanteni. Wasanii na ndugu wameitisha conf. wakamtuhumu huyo bosi wenu kuwa anajua mwenzao alipo, muda mfupi naye anajitokeza anasema kabla ya jumapili atakuwa amepatikana, inafika jumamosi(ambayo obviously ni kabla ya jumapili) Roma anapatikana. Inahtaji kiwango gani cha elimu kujumlisha moja na moja na kupata 2??