Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijuaje!!!Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Unajitoa ufahamu kwa ujira wa kutwa moja? Alipokwenda na jeshi Clouds alikuwa anatetea maslahi ya nani? Inahtaji uwe zuzu wa kiwango cha kuridhisha kumtetea huyu Rc mhalifu. Hivi mkikaa kimya haitoshi kuwafanya muonekane mna hekima hata ya kiwango cha chini?Hivi wewe kwa akili tu za kuzaliwa, makonda amkamate roma kwa lipi? Mangapi makonda katukanwa?? Mmeanza kwenye vyeti mpaka video da kejeli mkatumiana, makonda alihangaika na nyie? Mbona mnamtafuta hivyo? Aliwakosea nini? Acheni mambo ya kizamani nyie, wivu wenu na chuki zisizo na sababu hazitawapeleka kokote
Kiki gani hapo yy ndo anajua so walipokuwa.Bashite keshapata kiki the next ni Nani?
Nay hakukosea kabisa ktk kile kisehemu 'nchi inaendeshwa kwa kick' viongozi (bashite na fent ford) wanagombea heading kwenye magazetiNimeiweka makusudi kabisa , siasa za nchi hii zinaendeshwa kishamba sana .
AnatumwaSeries za tamthilia ya kutungwa na bashite zinaendelea. hivi huyu bashite anadhani sisi ni vilaza Kama yeye
Kama yepi mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Yule mwingine hawawezi kweli kumwachia? Au sababu alihoji mambo mazitoBora maana nilishawaza mengi..
Daahhh...,.. Hatari sanaa..Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Daaaah!!!!!!Duh, Kwahiyo Bashite ameshamuachia, Maana aliahidi atapatikana kabla ya kesho
mknd wk! kwanini hasa unanitafutia ban wewe mbuzi?Msanii MTU wa kawaida tuu...wanatekwa machezaji na familia zao majuu uko sembuse bongo bhanaaa...
Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Bashite sio MTU mzuri tuanamlaumu jk kwa kumuingiza kwenye system
Nimeamini Bashite anahusika hatari sana....
IM SPEECHLESS.......Haha hii michezo ya bashite bwana