Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kuna kitu hakiko sawa hapa.Time will tell. Let's wait and see.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu hakiko sawa hapa.Time will tell. Let's wait and see.
Siyo kelele tu wkizingua tufanye vitendo...Kelele nyingi zinasaidia, kuanzia sasa akipotea mtu tuhakikishe tunapiga kelele za kufa mtu, mitandaoni na nje ya mitandao, yaani ni kupiga kelele kama hatuna akili nzuri.
Nina uhakika Ben Saanane tungempigia kelele za kutosha mara alipopotea by now tungekuwa tumeshampata, lakini badala yake ziliwekwa kejeli, siasa nyiingi , malumbano na kunyoosheana vidole
Na mwisho wake utakuwa mbaya sanaYote kwa yote bashite ni mtu mbaya sana
mwisho atakuoa, we cheza cheza tuWamemuogopa Tundu Lissu maana amesema analivalia njuga
Lisu+Kibatala ni kiboko ya maharamia!
Like, like,like,like,like like like.......tulikuwa tunajadili hayo mapicha ya JK akiwa na Eminem huku hazina inakombwa! Poorer Tanzanian!wabongo bwana kwa udaku,umbeya porojo mnapendaga matukio mepesi kama haya...JK aliwawezea alikuwa akiwaachia vipicha yupo na macelebrity wa mbele mnavijadili miezi na miezi ye anafanya yake shame on you.Tubadilike Wakuu