Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar.
Habari ya akina Roma kupatikana imethibitishwa na Mkurugenzi wa Tongwe Records J. Mada.
Bado hakuna maelezo ya kutosha kuhusiana na wapi walipokuwa na nani waliokuwa wamewashikilia. Kwa sasa wanadaiwa kuwepo kituoni hapo kwa taratibu za kipolisi kwa kuwa jalada la kupotea kwao lilifunguliwa hapo.
Kupatikana kwao kumefuatia wito mkubwa uliokuwa ukipaishwa na wasanii wenzake na mashabiki kuhusu kuachiliwa huru, ndani na nje ya mitandao ya kijamii.
Awali, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Kamishina Simon Sirro alisema bado walikuwa wakiendelea na upelelezi wa tukio la kupotea (kutekwa) kwa msanii Roma Mkatoliki na wenzake.
Taarifa zaidi zinafuata..
Hadi sasa bado polisi wanamhoji kituoni na kuna waandishi wa habari wapo wanamsubiria pamoja na wadau wengine wa muziki
Waliohojiwa na waandishi ni pamoja na msanii Ney wa Mitego na Rais wa shirikisho la wasanii nchini Simon Mwakifamba
Mwakifamba kasema hivi sasa wamepata nafuu maana hata yeye alikuwa anaogopa
Ney wa Mitego amehojiwa na kusema hii inathibitisha Muziki wa Hip Hop unasikilizwa na watu wengi na una mchango kwenye jamii na wataendelea kuimba
View attachment 492792
View attachment 492791
Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar.
Habari ya akina Roma kupatikana imethibitishwa na Mkurugenzi wa Tongwe Records J. Mada.
Bado hakuna maelezo ya kutosha kuhusiana na wapi walipokuwa na nani waliokuwa wamewashikilia. Kwa sasa wanadaiwa kuwepo kituoni hapo kwa taratibu za kipolisi kwa kuwa jalada la kupotea kwao lilifunguliwa hapo.
Kupatikana kwao kumefuatia wito mkubwa uliokuwa ukipaishwa na wasanii wenzake na mashabiki kuhusu kuachiliwa huru, ndani na nje ya mitandao ya kijamii.
Awali, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Kamishina Simon Sirro alisema bado walikuwa wakiendelea na upelelezi wa tukio la kupotea (kutekwa) kwa msanii Roma Mkatoliki na wenzake.
Taarifa zaidi zinafuata..
Hadi sasa bado polisi wanamhoji kituoni na kuna waandishi wa habari wapo wanamsubiria pamoja na wadau wengine wa muziki
Waliohojiwa na waandishi ni pamoja na msanii Ney wa Mitego na Rais wa shirikisho la wasanii nchini Simon Mwakifamba
Mwakifamba kasema hivi sasa wamepata nafuu maana hata yeye alikuwa anaogopa
Ney wa Mitego amehojiwa na kusema hii inathibitisha Muziki wa Hip Hop unasikilizwa na watu wengi na una mchango kwenye jamii na wataendelea kuimba
View attachment 492792
View attachment 492791
Mi nafikiri ni muda muafaka sasa kwa mzee wetu saa nane na yeye aende na timu ya waandishi wa blogs kwa RC wa Dar, apatiwe ufumbuzi na ahadi timilifu, kuliko kukaa analalamika kwa kina Sirro.Hivi mamlaka zinasemaje kuhusu Ben ? Maana kama Roma aliahidiwa kabla ya jumapili je kwa ndugu yetu Ben ganzi ipo wapi
Hizo zinawork kwako tu na wajinga wenginelakini zin work kwa wananchi wengi..Wewe ndo unaona za kitoto. Wale wanaotoa mishipa kule instagram wengi ni Naive.😀😀😀
Ukiwa akili ndogo ni ngumu kutambua kwamba akili yako ni ndogo na kwako kushinda argument ni more important than anything else. Kwa hiyo tufanye tu kwamba mimi ni mjinga na wewe ni mwerevu I hope hii itaboost self-esteem yako na kujiona wewe ndo bingwa humu ndani..😀Hizo zinawork kwako tu na wajinga wengine
Kinachoshangaza wamepelekwa mwananyamala..kwani wana malaria?Daktar huru ampime polonium, sarin, cyanide, ricin tujue kama wamemtengua neva ya kutungia mistar na atuambie ilikuwaje huko
Hii kauli yake... inanifanya nipate mashaka. Na yeye alijua...Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Kumbe kweli imekua hivyo!aisee hii series ni zaidi ya prison break.Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Gwajima yeye alijiandaa mapema ki ulinziNi heri kama amepatikana sasa inatakiwa baadhi ya public figures kama hawa wasanii nk kuwa na private guards walobobea kwenye VIP protection kwa usalama wao.
Soma vizuri story line . utajua kafikaje hapoKama kweli kamanda sirro anatakiwa kuwajibishwa kwa kutoa Taarifa za uongo maana alikanusha kuwa hakuna kituo kinacho mshikiria, lakin kwa upande mwingine tumsamehe tu mzee wawatu kwa sababu mzee wawatu alikuwa msafi ila anatiwa najisi bila ridhaa hana namna mzee wawatu anapitia kipind kigumu sana sasa nadhana atakuwa anataman mda wa kustaafu ufike haraka ili kikombe hiki akihepuke.