Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Bora maana tulikosa raha
 

BASHITE UTATUMIA NGUVU NYINGI KUJISAFISHA
 
Hivi mamlaka zinasemaje kuhusu Ben ? Maana kama Roma aliahidiwa kabla ya jumapili je kwa ndugu yetu Ben ganzi ipo wapi
Mi nafikiri ni muda muafaka sasa kwa mzee wetu saa nane na yeye aende na timu ya waandishi wa blogs kwa RC wa Dar, apatiwe ufumbuzi na ahadi timilifu, kuliko kukaa analalamika kwa kina Sirro.
 
Hizo zinawork kwako tu na wajinga wengine
Ukiwa akili ndogo ni ngumu kutambua kwamba akili yako ni ndogo na kwako kushinda argument ni more important than anything else. Kwa hiyo tufanye tu kwamba mimi ni mjinga na wewe ni mwerevu I hope hii itaboost self-esteem yako na kujiona wewe ndo bingwa humu ndani..😀
 
Serkal iache uhuni isizan watanzania wa sasa wale wa kale, watanzania tunaona sana na kutambua uhuni unaofanywa na serkal, wanataka kutuambia serkal haiusk na uhuni huo
 
Daktar huru ampime polonium, sarin, cyanide, ricin tujue kama wamemtengua neva ya kutungia mistar na atuambie ilikuwaje huko
Kinachoshangaza wamepelekwa mwananyamala..kwani wana malaria?
 
Soma vizuri story line . utajua kafikaje hapo
 
Sasa tusubiri kesho watakapo andaliwa mkutano na waandishi wa habari na ili waongee kile walichofundishwa kuongea na kutoa shukrani nyingi sana,kumpamba mkuu wa mkoa na maharamia wenzake.

Mkutano huo utadhaminiwa na GSM.
Nilikuwa naota tu ila yatatokea coz jicho langu la rohoni limeona.

Aibu kubwa sana kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…