manyalla2028
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 247
- 166
Aanzie kwa kubenea na mbowe kwanzaMi nafikiri ni muda muafaka sasa kwa mzee wetu saa nane na yeye aende na timu ya waandishi wa blogs kwa RC wa Dar, apatiwe ufumbuzi na ahadi timilifu, kuliko kukaa analalamika kwa kina Sirro.
Wakina fid q walipoanzia kwa Sirro wakashindwa ndio maana wakaenda kwa Bashite. Na mzee saa nane ameisha anzia huko ulipopataja lakini hajapata mafanikio ndio maana nikatoa ombi aende kwa Bashite sasa maana ndio anauhakika na uzoefu na watu wanaopotelea Dar.Aanzie kwa kubenea na mbowe kwanza
Na mwisho wake utakuwa mbaya sana
CC:ModsUsikute waliwatomba!
Usikute waliwatomba!
Afu kesho tunasikia ya diamond na wimbo wake baba askofu akizungumzia...yaani pale anapofanya double manifestation....Duh, Kwahiyo Bashite ameshamuachia, Maana aliahidi atapatikana kabla ya kesho
Watanzania ni viazi sana hivi mtu akuteke harafu akuachie kirahisi