Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Duuh pumzi imeshuka bashite we kubwa la maadui kweli kabla ya jumapili lahaula [emoji122]
Kaamua kumtoa baada ya pressure kuwa kubwa alitaka amtoe usiku au kesho asubuhi kaona hali ni tete baada ya kusikia Tongwe wameleta mashehe toka pemba kuja kusoma Elibadili kaogopa kawatoa haraka.
 
Tatizo ni upatikanaji wa huyo daktari,nikekumbuka ile ya Gwajima kuishiwa nguvu ghafla...naamini Roma hayuko sawa sawa.

Wewe unadhani nimetoa hiyo tahadhari ' kizembe zembe ' Mkuu? Narudia tena kusema wafanye upesi wakampime kama ana kiwango chochote kile cha Sumu hiyo ya ' Kuua ' taratibu ambayo ' Magenge ' au ' Mashirika ' yote ya ' Kimafia ' huitumia kwa 100% katika kufanikisha wanachokitaka kwa Mtu ambaye ni ' Tishio ' kwa maslahi yao au ya Jamii fulani.
 
Sawa. Unaweza kutuelezea imekuwaje Roma apatikane Polisi ilhali jana polisi walisema hawafahamu alipo?
Alifichwa na kikundi binafsi cha Daud Bashite kaamua kuwaachia mapema leo baada ya kusikia Tongwe wanasoma elbadili
 
Bashite alisema anadhani Roma atapatikana kabla ya Jumapili.

Wapelekeni watoto wenu shule wasijekosea na kukaa uchi mbele za watu hivi. (Kwa hisani ya Daudi Balali - Twitter)
 
Kwa watu waliobobea kwa utekaji hajajua alik uwa wapi na hawaweza kuwatambua waliomteka!! Pia kama ilikuwa planned watakuwa wamemuonya hasa na sharti kubwa asije akasema walichoongea wala mapatano yao! Usicheze na watu walio kazini kwa weledi wao ,wanapatikana makumbusho pale wasikie tu! Hutasikia lolote!!! Amepunguzwa makali na adabu atakuwa nayo!! Onyo la mwisho amepewa
Roma toka uje utuambiee wapi ulikuwa na kama umenyeshwa matango pori tutajuaa
 
Babu tale kala mpunga wa Daud makonda kutengeneza movie feki kama mwenye vyeti feki.
Huu mpunga wa Makonda unaliwa kama alivyotangaza mwenye njaa aende kwa Edward Lowasa anagawa pesa za bure, sasa hivi mwenye njaa aende kwa Daudi Bashite anagawa pesa za bure.
 
Tunasubiri kwa hamu kuambiwa mtekaji ni nani na alikuwa na lengo gani na yuko mikononi mwa polisi, tofauti na hapo basi bashite na vyombo husika hawakwepi lawama hizo.
 
Back
Top Bottom