Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Kwani ni umewaza hivyo Haraka

Kwani ni umewaza hivyo Ungesubiria taarifa anasema alikuwa wapi?

Michezo ya hatari hasa ya Kimafia naijua na naifuatilia sana katika ' Sinema ' mbalimbali hivyo nilichokisema ni sehemu yangu ya msaada mkubwa tu Kwake na isitoshe sijamtuhumu yoyote juu ya kukamatwa Kwake bali nimemshauri tu tafadhali.
 
Hivi wanaume wa dar mbona Bashite anawachezea hivi?,
hivi hamna ujasili kweli wa kumwajibisha huyu mkulima?
Ni hizi skin tight ndiyo zinawatoa ujasiri wanaume wa Dar kila wakimuona Bashite
26689a059e11745896ffdd7e5e80963c.jpg
 
Ni jambo jema kama wamepatkana salama.
Kiu yetu na haja ni Roma na wenzie waje watueleze ni wapi walipelekwa na nani ni muhusika,ili na raia wengine tujilinde na adau.
 
Duh! Mods wamebadili nilichoandika! Wakuu kama hamtaki tuonyeshe hasira zetu dhidi ya huyu dikteta uchwara basi mtwambie nini hatutakiwi kuandika humu.

Wewe mod uliyefuta nilichoandika sidhani kama Roma angekuwa nduguyo ungeona kasoro yoyote ile kwa kile nilichoandika.

Ni lazima Watanzania tuwe kitu kimoja ili kumpinga huyu ShilawaDU na Serikali yake dhalimu jinsi huu uhuni anaoufanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia yoyote. Kama hataki kukosolewa ajiuzulu au afuate katiba ya nchi badala ya kuongoza nchi kama nduli Idi Amin.

Nenda uka edit tena,saa nyingine wanafanyaga mambo ya kijinga sana.
 
Watanzania tunaongea sana yani mpka unajiuliza tunatumia kinywaji gani. Loo. Hivi Mtu hawezi kuchukuliwa na Mdai wake. Au mbaya wake nk. Hizi conclusions mwendo kasi. Zitafanya watu wabaya wafanye maovu na kuwaacha wananchi wasingizie watu fulani. Tumeshakuwa na majibu sasa tunasubiri maswali. Its very sad.
Rudi tena darasani Mkuu halafu kajifunze upya maana na dhana nzima ya kitu kiitwacho ' <b>Labelling Theory</b> ' kisha utaelewa ni kwanini sasa hivi kila kitu kibaya Bashite wako huyo anahusishwa nacho. Matendo yake ya awali ambayo mengi ni ya ' Kipuuzi ' ndiyo yana justify yeye kuwa labelled hivyo na ukishangaa kuna siku pia anaweza kujitokeza Mtu tu akaachia Kimba pale Magogoni kwa nje na tutamhisi yeye huyu huyu Bashite wako. Mbona atatukoma mwaka huu!
 
Ikiwezekana atafutwe Daktari binafsi ampime kama ana vimelea vyovyote vya sumu kali ya cyanide tafadhali. Hili lifanyike upesi kama siyo haraka tafadhalini.
Daah!!! sikupata kufikiri hiki kitu PONGEZI MKUU ni jambo jema uliloshauri wahusika naomba mlifanyie kazi
 
Kuna mtu alisema atapatikana kabla ya jumapili..
Nafikiri polisi wangeanza na huyo kwanza..
 
Back
Top Bottom