Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Haiwezekani ikawa mwisho wake ni kuonekana tu Roma!
Ingepaswa ielezwe alikuwa wapi?
Nani alimteka?
Jeshi la polisi limechukua hatua gani?
Watanzania tulichukuliaje suala hili, kwamba ndio utekaji umeanza rasmi tuanze kujihami tukiwa barabarani?

nchi hii hofu sasa inaanza kutuingia wadanganyika!


Tundu Lisu na Masha!
 
Kichwa cha habari kisomeke Roma Na wenzake waachiwa baada ya kilio kikubwa kutoka kwa wananchi
 
Ni hizi skin tight ndiyo zinawatoa ujasiri wanaume wa Dar kila wakimuona Bashite
26689a059e11745896ffdd7e5e80963c.jpg
Yani kwa hiyo figure mi nilijua ni demu ila nilipocheki uso kumbe bashite..
 
Haiwezekani ikawa mwisho wake ni kuonekana tu Roma!
Ingepaswa ielezwe alikuwa wapi?
Nani alimteka?
Jeshi la polisi limechukua hatua gani?
Watanzania tulichukuliaje suala hili, kwamba ndio utekaji umeanza rasmi tuanze kujihami tukiwa barabarani?

nchi hii hofu sasa inaanza kutuingia wadanganyika!
Chadema walishiriki, hutaki ?
 
Hivi wakimtaja utaamini?
Kwanini usisubiri Roma mwenyewe aseme
Roma atapewa pesa na bashite huenda akaja na kioja cha mwaka na usishangae Bashite kumfundisha awasingizie chadema, kuna mambo ya ajabu yataibuka hapo ni bora Roma aepuke Rushwa ya Bashite
 
vyama vya upinzani vichunguzwe kwa hili
 
Hivi wakimtaja utaamini?
Kwanini usisubiri Roma mwenyewe aseme
Kama keshatishiwa kifo endapo atamsema aliyemteka, hawei kusema. Anyway labda askof atasema. Ila bashite aliyesema kuwa angepatikana kabla ya J3 aulizwe!

Anyway, si kaachiwa na kuahidi kusema kilichojiri J3! Atasema yale tu waliokubaliana na mtekaji kwamba yasemwe!
 
Kama keshatishiwa kifo endapo atamsema aliyemteka, hawei kusema. Anyway labda askof atasema. Ila bashite aliyesema kuwa angepatikana kabla ya J3 aulizwe!

Anyway, si kaachiwa na kuahidi kusema kilichojiri J3! Atasema yale tu waliokubaliana na mtekaji kwamba yasemwe!
Wamuulize ulimboka baada ya kutoka south kwenye matibabu kama alisema chochote, mpaka leo yuko kimya
 
Ni hatari hii tabia ya kupotea watu imeanza kuota mizizi tuilaani sote
 
Kama walikuwa na ruge tangu asubuhi mbona tumewekwa wazi mchana, na vipi mbona hawako sawa kiakili na kiafya nmeona video clip IG @cloudsfm ROMA anachechemea na pia anaweweseka kuongea. Mh kuna kiza hapo
 
Kwa mataifa mengine ambayo vyombo vya dola viko huru mkuu wa mkoa angehojiwa na vyombo vya usalama juu ya kadhia hii. nina wasiwasi tukawa na viongozi wenye vigenge vyao vya kimafia....
 
Back
Top Bottom