FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Wengi wana uraia tayari. Isitoshe, Israel haijatangaza vikwazo vyovyote binafsi kuhusiana na huu mgogoro ingawa wamesema hawataruhusu kufanywa kichaka cha oligarchs kujikinga dhidi ya vikwazo walivyowekewa.Kama wamekimbilia Israel huenda wasiguswe na vikwazo maana Israel ni mshirika wa mabeberu.
Iko hivi nyingi ya hela za hawa matajiri ni za huyo kichaa Putin.Hawa jamaa ni matajiri wa michongo, wamepora utajiri wa Urusi wakawekeza kwa mabeberu.
Ila hata hao ulaya wahuni tu, miaka zote wanafaidi hela za dhulma ila leo ndio wanachukua hatua maana Vita vimetokea ulaya, washenzi tu hao.Iko hivi nyingi ya hela za hawa matajiri ni za huyo kichaa Putin.
Wewe unafikiri nchi za ulaya ni vichaa kuwapora hizo pesa ?
View attachment 2178495
View attachment 2178496
Kweli unaweza kuwaita wanafiki lkn nakukumbusha , kumchinja Kobe huwa inahitajika timing ya hatari .Ila hata hao ulaya wahuni tu, miaka zote wanafaidi hela za dhulma ila leo ndio wanachukua hatua maana Vita vimetokea ulaya, washenzi tu hao.
Pole naamini uchumi huujui
Umejitahidi lakini bado huelewi mambo haya.Hizi nchi mbili Uingereza na Marekani naona mara nyingi zinatumia nguvu yao kiuchumi kuwaumiza wasio na hatia na bahati mbaya hakuna anayewalaumu.
Mfano, Marekani alivamia Iraq tukaambiwa kuna nyuklia, lakini hakuna chochote walichowahi kutuonesha mpaka leo, wakavamia tena Libya kwa kisingizio kile kile lakini hakuna walichotuonesha hata baada ya vita ile.
Nashangaa leo wanamuhukumu Abramovich kwasababu tu ana urafiki na Putin, kwao hili ni kosa kubwa wameamua kumuadhibu, naona dunia tunayoishi inaendeshwa na mataifa makubwa mawili yaliyojaa unafiki wa hali ya juu sana.
I wish hao wachina nao wawe na nguvu zaidi kiuchumi waje kuwalainisha hao wajuaji wawili.
Hizi nchi mbili Uingereza na Marekani naona mara nyingi zinatumia nguvu yao kiuchumi kuwaumiza wasio na hatia na bahati mbaya hakuna anayewalaumu.
Mfano, Marekani alivamia Iraq tukaambiwa kuna nyuklia, lakini hakuna chochote walichowahi kutuonesha mpaka leo, wakavamia tena Libya kwa kisingizio kile kile lakini hakuna walichotuonesha hata baada ya vita ile.
Nashangaa leo wanamuhukumu Abramovich kwasababu tu ana urafiki na Putin, kwao hili ni kosa kubwa wameamua kumuadhibu, naona dunia tunayoishi inaendeshwa na mataifa makubwa mawili yaliyojaa unafiki wa hali ya juu sana.
I wish hao wachina nao wawe na nguvu zaidi kiuchumi waje kuwalainisha hao wajuaji wawili.
mwambie putin kawekwa na abramovich si ndio alikuw mastermind ikulu ya rais mlevi wakati putin akiwa nje kgbUmejitahidi lakini bado huelewi mambo haya.
Kiufupi tu Putin amewekwa pale na hawa Oligarch.
Alipoingia bibi mla urojo akatanua na kufungua nchi . sasa hivi ni kujipigia tu .Hao hata bwana yule alipojidai kuwabania maslahi yao kwenye dhahabu wakatuminya kiduuuchu. Wenyewe tukaachia.
"You are either with us or You're against us" - George Bush jr.
askofu KakobeKwa hyo wanataka awe masikini.
ndo maana matajiri wa Tanzania uwa wanaweka hela zao kwenye majaba na mandoo.
hivi ujinga wa wamagaribi kuanza kuadhibi mtu binafsi kwasababu tu ni raia na rafiki wa mtu wasiyemtaka? ni ujinga gani huu?
Russian oligarch Roman Abramovich is reportedly begging his rich friends including Hollywood director Brett Ratner for £765,000 ($980,000) loans to help him pay his staff after being sanctioned by London and Washington, US sources have claimed.
The Chelsea Football Club owner, who has been accused in Britain of being a close ally of Russian warmonger Putin, is apparently asking for huge loans from his celebrity friends to maintain his staff, who are rumoured to be costing him £600,000-a-week.
Page Six alleges that Rush Hour director Ratner is among those Abramovich has asked, as well as other contacts in Hollywood and Silicon Valley. The oligarch is also said to have approached the Rothschild family after his assets in Britain and the US were seized last month. No one is thought to have agreed to give him the money.
A source told the website: ‘Roman is asking some of his closest powerful friends to let him borrow $1million. He is saying he has never missed payroll for his staff, which is $750,000 a week, and with his assets frozen, he can’t pay his people.
‘He has reached out to Hollywood producer and director Brett Ratner and the Rothschild family, among many others, for money, but – while they are good friends with Roman – they have not agreed to give him money, because either they do not have that in liquid cash, or moreover it is not clear what are the repercussions under international law.’
Ratner declined to comment when approached by Page Six, and the Rothschilds could not be reached.
More: Ukraine war: Roman Abramovich 'begs celebrity friends for loans'
Ni sawa na kuwa tajiri hapa Tanzania alafu unataka kuikwepa Dar ES Salaam kibiashara. No wayMatajir wengi hasa wa Asia wataanza ogopa kuinvest hzo nchi coz ya sanctions au watakuwa wanatunza pesa kwenye bank za nyumbani.
Matajir wengi wamepata somo.
Hiyo sio haki ni udhulumaji na wizi mtu kapata tabu sana kuzipata hzo pesa.
kanuni inasema .Adui wa adui wako ni RAFIKI wako. Na kinyume chake yaani RAFIKI WA ADUI WAKO NI ADUI WAKO . harafu huyo sio tajiri , huyo ni mtunza fedha (kibubu) wa fisadi PUTINhivi ujinga wa wamagaribi kuanza kuadhibi mtu binafsi kwasababu tu ni raia na rafiki wa mtu wasiyemtaka? ni ujinga gani huu?