Roman Abramovich 'begs his rich celebrity friends for $1million loans to maintain his staff

Roman Abramovich 'begs his rich celebrity friends for $1million loans to maintain his staff

Matajir wengi hasa wa Asia wataanza ogopa kuinvest hzo nchi coz ya sanctions au watakuwa wanatunza pesa kwenye bank za nyumbani.

Matajir wengi wamepata somo.

Hiyo sio haki ni udhulumaji na wizi mtu kapata tabu sana kuzipata hzo pesa.
Mzee unajua masoko ya hisa yanavyofanya kaz au umeongea tu
 
Hizi nchi mbili Uingereza na Marekani naona mara nyingi zinatumia nguvu yao kiuchumi kuwaumiza wasio na hatia na bahati mbaya hakuna anayewalaumu.

Mfano, Marekani alivamia Iraq tukaambiwa kuna nyuklia, lakini hakuna chochote walichowahi kutuonesha mpaka leo, wakavamia tena Libya kwa kisingizio kile kile lakini hakuna walichotuonesha hata baada ya vita ile.

Nashangaa leo wanamuhukumu Abramovich kwasababu tu ana urafiki na Putin, kwao hili ni kosa kubwa wameamua kumuadhibu, naona dunia tunayoishi inaendeshwa na mataifa makubwa mawili yaliyojaa unafiki wa hali ya juu sana.

I wish hao wachina nao wawe na nguvu zaidi kiuchumi waje kuwalainisha hao wajuaji wawili.
USAHIHI:LIbya walitengeneza maandamano kwa mgongo wa kutaka demokrasia
 
Ila hata hao ulaya wahuni tu, miaka zote wanafaidi hela za dhulma ila leo ndio wanachukua hatua maana Vita vimetokea ulaya, washenzi tu hao.
Angalau umeliona hili angalau [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kutoka kuuza magurudumu used yamagari Hadi ubilionea nilikua nashangaaa
magurudumu wapi hao ni wapiga madili tu 😛😛😛😛 . kipindi kile USSR ilipodondoka wa 🇷🇺🇷🇺 wajanja wakajimilikisha na kuifisadi nchi.
Ili kujikosha wakaanza kuwekeza pesa ulaya kiujanja ujanja . Ndo huyo jamaa akakimbilia 🇬🇧🇬🇧.
Akainnunua klabu ya Chelsea kwa bei ya kutupwa .
 
magurudumu wapi hao ni wapiga madili tu [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] . kipindi kile USSR ilipodondoka wa [emoji635][emoji635] wajanja wakajimilikisha na kuifisadi nchi.
Ili kujikosha wakaanza kuwekeza pesa ulaya kiujanja ujanja . Ndo huyo jamaa akakimbilia [emoji636][emoji636].
Akainnunua klabu ya Chelsea kwa bei ya kutupwa .
Na ununuwaji Chelsea na uwekezaji ulaya ilikua kwalengo la kikachero abramovic alikua mfadhiri mkubwa wa majasusi wa kirusi na walioizindua dunia nimajasusi wa Siri ambao ni ndumilakuwili wa kirusi (doublestandard ) ,mmojawapo alipigwa sumu Kali London uingereza ikamuhudumia na mwanae mpaka leo alipona na ndokisa chakwanza kilipelekea kufurushwa uingereza bwana abromovic kwenda uhamishoni israel
 
Na ununuwaji Chelsea na uwekezaji ulaya ilikua kwalengo la kikachero abramovic alikua mfadhiri mkubwa wa majasusi wa kirusi na walioizindua dunia nimajasusi wa Siri ambao ni ndumilakuwili wa kirusi (doublestandard ) ,mmojawapo alipigwa sumu Kali London uingereza ikamuhudumia na mwanae mpaka leo alipona na ndokisa chakwanza kilipelekea kufurushwa uingereza bwana abromovic kwenda uhamishoni israel
uko sahihi . na kingine ni kuwa serikali ya 🇬🇧🇬🇧🇬🇧 ilikwisha mkatalia kumpa uraia wa UK.
Wanasema sasa hivi amekwenda huko uturuki amekaokota ka timu anataka akamiliki.
Washauri wa mambo wamemshauri rais wa nchi hiyo Eldogan awe makini na huyo bwana .
😂😂😂😂😂😂😂
 
Hizi nchi mbili Uingereza na Marekani naona mara nyingi zinatumia nguvu yao kiuchumi kuwaumiza wasio na hatia na bahati mbaya hakuna anayewalaumu.

Mfano, Marekani alivamia Iraq tukaambiwa kuna nyuklia, lakini hakuna chochote walichowahi kutuonesha mpaka leo, wakavamia tena Libya kwa kisingizio kile kile lakini hakuna walichotuonesha hata baada ya vita ile.

Nashangaa leo wanamuhukumu Abramovich kwasababu tu ana urafiki na Putin, kwao hili ni kosa kubwa wameamua kumuadhibu, naona dunia tunayoishi inaendeshwa na mataifa makubwa mawili yaliyojaa unafiki wa hali ya juu sana.

I wish hao wachina nao wawe na nguvu zaidi kiuchumi waje kuwalainisha hao wajuaji wawili.
jinga kbs , unahisi ukraine hakuna waliopoteza mali zao ? yaan mtu mmoja unamuonea uchungu dhidi ya watu zaid ya million 20 waliopoteza makaz na mali zao zote ss hv wanaishi km digi digi ndani ya nchi ukiuliza eti kisa nchi yao inataka kujiunga na NATO
 
Matajir wengi hasa wa Asia wataanza ogopa kuinvest hzo nchi coz ya sanctions au watakuwa wanatunza pesa kwenye bank za nyumbani.

Matajir wengi wamepata somo.

Hiyo sio haki ni udhulumaji na wizi mtu kapata tabu sana kuzipata hzo pesa.
ila matajir wa ukraine kuharibiwa mali zao ambapo hawata zipata tena hata amani ikirud leo , hao huwaonei uchungu ? dunia ina watu wanafiki sana
 
uko sahihi . na kingine ni kuwa serikali ya [emoji636][emoji636][emoji636] ilikwisha mkatalia kumpa uraia wa UK.
Wanasema sasa hivi amekwenda huko uturuki amekaokota ka timu anataka akamiliki.
Washauri wa mambo wamemshauri rais wa nchi hiyo Eldogan awe makini na huyo bwana .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ameambukiza ujanja wake Hadi wauza magurudumu used temeke na kariakoo mule ukitaka kitu toka kwao uwage makini kwelikweli
 
Ila makampuni yao makubwa yaliyowekeza huku Africa, yanavuna utajiri wa huku na kupeleka kwao.
si bora kaachwa hai ila matajir wa ukraine mpk wanapoteza uhai kabisa ndan ya nchi yao kisa wanazuiliwa wasijiunge na NATO , au hiyo ni haki ?
 
Baada ya vikwazo kuanza kutangazwa, oligarchs wengi walikimbilia Israel kwenda kutafuta nyumba za kupanga hasa wale wenye asili ya Kiyahudi ambao Israel kwao ni kama nyumbani kwa mujibu wa sheria.

Ni miongoni mwa matukio ya kustaajabisha sana kuona "wakimbizi" wakiwa na private jets na ma-briefcase yenye "ukwasi" wa kutisha, tofauti na wakimbizi wengine wengi tuliowazoea.
hahaaa acha adabu iwakae vzr , waukraine wanapoteza mali na uhai , mm ningekuwa kiongoz wa taifa moja la mabeberu basi nawanyonga tu kama wao wanavyoua matajir wa ukraine pamoja na kulipua mali zao
 
hivi ujinga wa wamagaribi kuanza kuadhibi mtu binafsi kwasababu tu ni raia na rafiki wa mtu wasiyemtaka? ni ujinga gani huu?
kwan Putin anaowaua kuwa kule Ukraine waliwai kumjibu au kuomba vita na yy ? au walishiriki kwenye kutuma maombi ya kujiunga na NATO ?
 
Back
Top Bottom