Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Hivi Ni jaba,diaba, au dyaba?Kwa hyo wanataka awe masikini.
ndo maana matajiri wa Tanzania uwa wanaweka hela zao kwenye majaba na mandoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Ni jaba,diaba, au dyaba?Kwa hyo wanataka awe masikini.
ndo maana matajiri wa Tanzania uwa wanaweka hela zao kwenye majaba na mandoo.
duh waafrika tunapenda story za kusadikikaUSAHIHI:LIbya walitengeneza maandamano kwa mgongo wa kutaka demokrasia
Na ndo maana kwenye hii vita Israel amejifanya hajui kiendeleachoBaada ya vikwazo kuanza kutangazwa, oligarchs wengi walikimbilia Israel kwenda kutafuta nyumba za kupanga hasa wale wenye asili ya Kiyahudi ambao Israel kwao ni kama nyumbani kwa mujibu wa sheria.
Ni miongoni mwa matukio ya kustaajabisha sana kuona "wakimbizi" wakiwa na private jets na ma-briefcase yenye "ukwasi" wa kutisha, tofauti na wakimbizi wengine wengi tuliowazoea.
Israel anakosa kufanya kitu sababu Zerensky ni Jew, Russia ina Jews wengiWengi wana uraia tayari. Isitoshe, Israel haijatangaza vikwazo vyovyote binafsi kuhusiana na huu mgogoro ingawa wamesema hawataruhusu kufanywa kichaka cha oligarchs kujikinga dhidi ya vikwazo walivyowekewa.
Wanaendelea kuwasili. Mwingine huyu hapa, kawasili hivi karibuni:
![]()
Unsanctioned Russian oligarch Prokhorov flees to Israel, gets citizenship - report
Prokhorov's name is not mentioned on the lists of sanctioned oligarchs compiled by the United States or any other Western nation.www.jpost.com
jaman kumbuken chanz cha mgogor mwambie babu yenu aache uvamiz kule ukraine ndo na hao oligarch wataachiwa , uwanja wa dyiv umelipuliwa kumebakia eneo la waz ebu fikiria kias cha pesa kimepotea hapo ? hiyo ni kwa uchache tu ila in details wa ukraine wamepoteza vingi sana ila nashangaa kumuona pimb mmoja anawaonea maliolirgach huruma pekee yaoAngalau umeliona hili angalau [emoji122][emoji122][emoji122]
Sasa Israel hata akitaka atafanya nini!? USA maji yanazidi unga ndio ije iwe Israel!?Israel anakosa kufanya kitu sababu Zerensky ni Jew, Russia ina Jews wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing is fair in love and warAll is fair in love and war.
Kama kumminya Roman kutamfanya Putin asitishe vita then aminywe.
tatizo, wanavyomtesa tajiri wa chelsea, amewakosea nini?kwan Putin anaowaua kuwa kule Ukraine waliwai kumjibu au kuomba vita na yy ? au walishiriki kwenye kutuma maombi ya kujiunga na NATO ?
Ndio kutokana na Sheria zetu kuwa butuIla makampuni yao makubwa yaliyowekeza huku Africa, yanavuna utajiri wa huku na kupeleka kwao.
hawa🇷🇺🇷🇺🇷🇺 oligarchs wafirisiwe hadi watembelee ndala .😂😂😂😂😂All is fair in love and war.
Kama kumminya Roman kutamfanya Putin asitishe vita then aminywe.
Umenichekesha sana mkuuhawa🇷🇺🇷🇺🇷🇺 oligarchs wafirisiwe hadi watembelee ndala .😂😂😂😂😂
Hivi Ni jaba,diaba, au dyaba?
Kwan Raia wa Ukraine wamemkosea nin Putin?tatizo, wanavyomtesa tajiri wa chelsea, amewakosea nini?