Roman Abramovich 'begs his rich celebrity friends for $1million loans to maintain his staff

Roman Abramovich 'begs his rich celebrity friends for $1million loans to maintain his staff

Baada ya vikwazo kuanza kutangazwa, oligarchs wengi walikimbilia Israel kwenda kutafuta nyumba za kupanga hasa wale wenye asili ya Kiyahudi ambao Israel kwao ni kama nyumbani kwa mujibu wa sheria.

Ni miongoni mwa matukio ya kustaajabisha sana kuona "wakimbizi" wakiwa na private jets na ma-briefcase yenye "ukwasi" wa kutisha, tofauti na wakimbizi wengine wengi tuliowazoea.
Na ndo maana kwenye hii vita Israel amejifanya hajui kiendeleacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wana uraia tayari. Isitoshe, Israel haijatangaza vikwazo vyovyote binafsi kuhusiana na huu mgogoro ingawa wamesema hawataruhusu kufanywa kichaka cha oligarchs kujikinga dhidi ya vikwazo walivyowekewa.

Wanaendelea kuwasili. Mwingine huyu hapa, kawasili hivi karibuni:
Israel anakosa kufanya kitu sababu Zerensky ni Jew, Russia ina Jews wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalau umeliona hili angalau [emoji122][emoji122][emoji122]
jaman kumbuken chanz cha mgogor mwambie babu yenu aache uvamiz kule ukraine ndo na hao oligarch wataachiwa , uwanja wa dyiv umelipuliwa kumebakia eneo la waz ebu fikiria kias cha pesa kimepotea hapo ? hiyo ni kwa uchache tu ila in details wa ukraine wamepoteza vingi sana ila nashangaa kumuona pimb mmoja anawaonea maliolirgach huruma pekee yao
 
kwan Putin anaowaua kuwa kule Ukraine waliwai kumjibu au kuomba vita na yy ? au walishiriki kwenye kutuma maombi ya kujiunga na NATO ?
tatizo, wanavyomtesa tajiri wa chelsea, amewakosea nini?
 
All is fair in love and war.

Kama kumminya Roman kutamfanya Putin asitishe vita then aminywe.
hawa🇷🇺🇷🇺🇷🇺 oligarchs wafirisiwe hadi watembelee ndala .😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom