VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hivi kweli unaamini kwamba OJ hakufanya hayo... ila ukweli ni kwamba hakuba concrete evidence ya kum-connect Abramavich na mambo mengi anayofanya sababu anajua anachokifanya vingi ni speculations ambazo ukienda nazo mahakamani huwezi kushinda kesi (thats what makes these guys untouchable) Sio kwamba mahakama zinawaogopa ila hata ukiwapeleka mahakamani utashindwa kesiKama kuna clear concrete evidence ya kuku-connect na any crime in the US you are done! O.J issue was circumstacial kama ilivyokuwa majuzi issue ya huyo binti wa Florida alieeepa murder ya mwanawe (K. anthony)
Bill Gates akiuwa leo na kukiwa na ushahidi wa kumtia hatiani he's gone!
Mkuu hapa sio kwamba kuna kesi hakuna kesi ila ni kwamba jamaa alitumia advantage ambayo sio uungwana wa kumuovertake jamaa na kuchukua idea alioiona kwa Job na kuifanyia kazi tena alichofanya ni kuhakikisha mzigo unaingia sokoni kabla ya Apple Mac haijatoka na kufanya hivyo inasemekana mzigo ulitoka na Bugs za kutosha ambazo jamaa alizifix baadae
Hakukuwa na clear cut eveidence to connect OJ with the murder of his ex and boy friend. The evidence was circumstacial. I believe OJ did it, but mahakamani kunatakiwa ushahidi wa kukutia hatiani na sio speculationMkuu hivi kweli unaamini kwamba OJ hakufanya hayo... ila ukweli ni kwamba hakuba concrete evidence ya kum-connect Abramavich na mambo mengi anayofanya sababu anajua anachokifanya vingi ni speculations ambazo ukienda nazo mahakamani huwezi kushinda kesi (thats what makes these guys untouchable) Sio kwamba mahakama zinawaogopa ila hata ukiwapeleka mahakamani utashindwa kesi
Touche!Mkuu sasa unaandika kama mkosa hoja this is not the fiction story, this are the facts the known facts from different sources.., au unataka nikuwekee na majina ya watu niliokuwa ninaongea nao marafiki zangu kuhusu huyu jamaa ambae amenunua Chelsea?
Wewe ndio kuwa muungwana wa kusema kwamba umechemka na hii sio tafsiri niliotoa kutoka Wikipedia bali ni katika kusoma kwangu kwa muda mrefu na kusikia stories za huyu jamaa kutoka different sources hata nyingine sikumbuki ni wapi nilisikia lakini the first person aliekwenda russia kuanza kufanya diggings alikuwa mwandishi wa The Times kutoka England na hio ndio ililelata the ball rolling na likawa gumzo kati ya watu wa kawaida mtaani..
So please mkuu next time dont jump to conclusions which yourself can not defend..., it does not make sense and now am regretting why I even bothered to answer you sababu umeshanitoa kwenye topic at hand..
Alafu ask yourself ni mwandishi gani alieandika hii habari (nikiweka hapa 10 sources of extracts itakuwa inadilute habari...) na kumbuka hapa am not writing a thesis
Huyu Boss wa Chelsea kinamsaidia kuwa hajataka kabisa kujiingiza kwenye SIASA na wala hapingani na Putin. Alipoona mambo yanakwenda ovyo, akakimbia na kuacha tu miradi yake na hivyo kubaki Neutral sana kwenye Siasa. Pia amekuwa akijitokea sana kwenye mambo ya nchi kama kumlipa mshahara kocha wa timu ya Taifa ya Russia. Mwishoni kama sikosei, Putin sijui alifanyaje ila ule mpango wake wa kurudisha male za Taifa mikononi wa Serikali, alinunua kipande kikubwa cha Keki kwene makampuni ya huyu Roman na jamaa akakabidhiwa hela nzito na kutokomea zake.
Touche!
Mkuu post yako ya kwanza ulitafsiri na kuiandika as if umeiandika wewe mwenyewe kwa kufanya uchunguzi wako mwenyewe, ndio maana nikakwambia whether source yako ni kitabu au mtu mtaani basi fanya jambo la kiungwana na kusema umeitoa wapi hizi blah blah za sijui kujump into conclusion ni kujaribu kukwepa ukweli kuwa huweka sources za ulikoitafsiri hiyo article.
Kuna ugumu gani kusema umeitafsiri kutoka Source A, B, C and D kama ulivyofanya kwenye nyekundu hapo juu kulikuwa na ugumu gani kufanya hivyo tangu mwanzo wakati unapost? Heck ukisoma baadhi ya hizo sources ulizolist hapo juu nao wameandika wameotoa wapi information zao, with exception of Roman Abramovich ambao wameandika kitu ulichoandika wewe (kwa kingereza) na wana hadi picha uliyopost.
Haya samahani kwa kukutuhumu kuwa umetafsiri kutoka Wikipedia.
Haya mkuu nimechemka
Soma tena post yangu #42 https://www.jamiiforums.com/celebri...the-self-made-billionnaire-3.html#post2348363Kazi kweli kweli duh na wewe baada ya kuona hapo ukajua kwamba hizi information zinapatikana wikipedia peke yake,...??!! Duh kazi ipo naomba uangalie hizo links hapo juu zinaelezea vizuri zaidi kuhusu huyu jamaa kuzidi hata hizo information za wikipedia na habari zaidi na deep sana iliandikwa na gazeti la the times
Haya kama ni hivyo how about ile kesi ya Samsung v/s Jobs/Apple??? Do u know that Apple wana scandal iko mahakamani na wanafikiria ku-settle? Issues kama hizo zipo sana esp. kwenye highly competitive industries. Gates ana issues zake za unfair competition ambazo alisettle huko nyuma ambazo zilimfanya atetereke kutoka networth ya 90 billion hadi around 50's kwa sasa
Obvious Mkuu bila kumuona huyu jamaa anaekuja kwenye nchi yao na kumwaga mapesa kiasi hicho watu tusingemjua..., after all hata Russia nadhani ni tajiri wa nne na kuna wenzake ambao wanapesa kuliko yeye na wameiba kuliko yeye lakini waandishi wa England hawakujisumbua.., alafu wana bahati sana sababu russia ukienda unachimba chimba habari za mtu unaweza ukajikuta unapata kifo kabla ya wakati wakoSoma tena post yangu #42 https://www.jamiiforums.com/celebri...the-self-made-billionnaire-3.html#post2348363
Niliandika kuwa ata hao wikipedia wanaweka links za sources zao... Vijinamba kwenye mabano.
Haya mkuu naishia hapa... ila acknowledgement ni jambo la muhimu.
Back to the subject at hand, kama Balzac anavyosema "Behind every great fortune there's a great crime". Nina uhakika kama Abramovich asingeinunua Chelsea wahandishi wa Uingereza wasingejisumbua kutaka kujua amepata vipit utajiri wake.
Sikonge umegusia kitu kimoja muhimu sana katafute kitabu cha Gang Of Lubyanka cha Alexander Litvinenko kama hujakisoma anazungumzia jinsi jamaa kutoka kwenye Security Services (kuanzia KGB na sasa FSB) walivyo jitransform kwenye umafia.
Mkuu according to Alexander Litvinenko (yule russian spy aliepewa sumu pale London) na yule Boris ambae alimsaidia Roman kupata ile keki kwenye loans for shares programme ni kwamba Roman na Putin ni kitu kimoja na wapo karibu sana na inasemekena Roman alishiriki na kuhakikisha kwamba Putin anakuwa Rais baada ya Yeltsin..
Kwahiyo connection za huyu jamaa ni za nguvu sana Abramovich, Lugovoy and Putin - the background - Times Online