Touche!
Mkuu post yako ya kwanza ulitafsiri na kuiandika as if umeiandika wewe mwenyewe kwa kufanya uchunguzi wako mwenyewe, ndio maana nikakwambia whether source yako ni kitabu au mtu mtaani basi fanya jambo la kiungwana na kusema umeitoa wapi hizi blah blah za sijui kujump into conclusion ni kujaribu kukwepa ukweli kuwa huweka sources za ulikoitafsiri hiyo article.
Kuna ugumu gani kusema umeitafsiri kutoka Source A, B, C and D kama ulivyofanya kwenye
nyekundu hapo juu kulikuwa na ugumu gani kufanya hivyo tangu mwanzo wakati unapost? Heck ukisoma baadhi ya hizo sources ulizolist hapo juu nao wameandika wameotoa wapi information zao, with exception of
Roman Abramovich ambao wameandika kitu ulichoandika wewe (kwa kingereza) na wana hadi picha uliyopost.
Haya samahani kwa kukutuhumu kuwa umetafsiri kutoka Wikipedia.
Haya mkuu nimechemka