Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Shukran sana mkuu, ngoja nilale nikiwa na tafakuri kibao..siku moja kuja kuwa Oligarch.

Mkuu The bold ukiweza naomba unipatie link ya ule uzi wa Malesian Airline MH...iliyopotea.
 
Next episode nitag mkuu.. nafatilia sredi
 
Shukran sana mkuu, ngoja nilale nikiwa na tafakuri kibao..siku moja kuja kuwa Oligarch.

Mkuu The bold ukiweza naomba unipatie link ya ule uzi wa Malesian Airline MH...iliyopotea.

 
Utajiri wa huyo jamaa unafanana kabisa na utajiri wa rostam azizi,ni mara chache sana mtu kuwa tajiri pasopo mgongo wa serikali
 
[AsQUOTE="nkwarisambu, post: 32439234, member: 270874"]
[/QUOTE]
Asaste sana mkuu.ubarikiwe
 
Karibu sana Mkuu Habibu B. Anga a.k.a The Bold.
Tulizikosa kwa kipindi makala zako murua na zilizoshiba, hali iliyopelekea nijikite youtube kutafuta makala za kujifunzia, ndipo ghafla nikakutana na channel yako.
Naomba kutoa maoni yangu kiasi, ijapokuwa siku hizi kwa Tanzania ukitoa maoni unaitwa "Hater".
Katika channel yako ningekuomba ubadilishe msimulizi na asiwe Abdalla Ambua a.k.a Dullah Planet na umuweke msimulizi mzuri zaidi ama kama atabaki huyohuyo basi arekebishe usomaji wake na apunguze mbwembwe nyingi.
Nb: Ni maoni yangu na muono wangu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…