Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #1,141
Hahaha pamoja sana comrade... aluta continua
Habib ww ni nyoko, ww n nouma, ww n kiboko, kudadeki zako uwa unanifurahisha sana hakuna uzi wako uliowahi kuniangusha hongera sana dadeki zako, achana na hao wanga wanaosema ujinga na wao wakacopy watuletee kama awajaleta vi definition vyao vya kingereza hata ku translate wanashindwa[emoji23][emoji23][emoji23] Ishi miaka kibwena ndugu natarajia utakuja mzigo mzito baada ya huu