Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Hahaha pamoja sana comrade... aluta continua
 
Pamoja sana mkuu..
 
Ukifanya ukafiri ili upate mali, ni lazima moto ukuchome.

Tutakunyofoa kabisa na genge lako la kutaka kufanya ukafiri.

Ila dadangu jinsi ulivyo na hasira na mimi utadhani nimekuzalisha alafu sitoi child support.
Daah hii obssesion uliyonayo kwangu mpaka mkewangu ameanza kuwa na wasiwasi.

Hebu nijuze PM nini kinakusibu maana enzi zangu za ujana 'nimehangaika' vya kutosha usijekuwa na mapacha wangu.

Usijisikie vibaya sister, niweke wazi..
 
Chief huyu dada yetu ana obssesion na mimi kitambo sana. Huu sio uzi wake wa kwanza. Kila akiona jina langu lazima apate kiungulia.
Ana obssesion ya hatari..
Hii ni burudani...sidhani kama ni mahali pa kuweka ugomvi. mkuu unaweza kuanzisha uzi ukaweka nondo zako na wewe tusome...
 
Pamoja sana comrade..
 
Well said brother... Kama tunatunza kumbukumbu zetu vizr watu kama wakina Poise tulikuwa nao toka shulen wao walkua wanajifanya wanajua kila kitu, hawana muda wa kujifunza toka kwa wengne kwasababu wanaamin kuwa wapo right all the time ila huwa wanafel ku prove hilo kwny academic performance na huishia kufel vbaya na kusahaulka kabsa.. The Bold keep going brother ma oligarchs wenyew walpingwa ww n nan usipingwe?
 
Chief huyu dada yetu ana obssesion na mimi kitambo sana. Huu sio uzi wake wa kwanza. Kila akiona jina langu lazima apate kiungulia.
Ana obssesion ya hatari..
Kaka achana na huyu bwege. Huyu ndio vile vi-Tiss huwa vinajitangaza mitaani kumbe Ni vitaahira tu. Kimsingi hajui anachokupinga ila anatafuta Kiki lakini kumbe Ana ji-expose alivyo mweupe kichwani. Bro I know it takes a hell of brain and resources kutuandalia hizi Makala Tena for free. Just live that stupid woman alone. Mimi Nampa mtihani aandike article yake tuipende Kama Kweli kichwani zimo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa broh...
 
Unamfaham Poise ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…