Roman Reigns and Dean Ambrose special thread

Finn balor ni mwanamieleka au mwanamitindo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashauzi kibao

tena hao wanaomsumbua ni kwa ajili ya miili yao hasa huyo strawman
block lesna ile style ya kuvunja wenzie migongo na mwili uliozoea punch

Post sent using JamiiForums mobile app
 

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti mwana mitindo!


Kinachomsaidia yeye ana stamina

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Cena Kazeeka ndo mana na ufanisi umepungu
Mark Henry mwaka 2006 alifika hadi kilo 216 ila Cena alikuwa anambeba huyu mdudu mzima kwenye umaliziaji wa mtindo wake ule wa "U Cant See Me" ila siku hizi eti anapigana na akina seth rollins na anabondwa daah
saivi muhuni naemkubali ni R Truth ananikosha Koffi Kingstone anapigana kama manzi siku hizi tangu waanze kukata viuno na wenzake wa new day last
 
cana umri umeenda sana, ni km rand Orton

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
nmecheka kwa nguvu , hakuna wana mieka siwapendi wwe kama new day.....
Mashoga sio mashoga wanajikatikisha viuno hovyo hovyo...

Cena kuna siku alitaka kumbeba big dady V , wwe wote alibeba mpaka big show ,great kalee kama sikosei ..

sikuhizi kawa mzembe sana ,anapigana na akina rollins sijui akina nani wanampiga,
miaka ile ya 2005 nani alikua namgusa cena , alimpigaga ngumi sijui nigga gani yule alikuaga amejazia alikuaga anasumbua sana wwe alipigwa ngumi mpaka nje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
cena ilikua akitaka kupigana wanamshika hata watu 8 akijitoa anadondosha wote...
kipindi hicho mieleka Itv kila mtu alikua anapotezea style ya cena[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16]

Ametoka mbali ,afu nilijuaga aliachaga nakuja kuangalia 2014 namkuta

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umri umemtupa jamani! Naona last week kaja tena kutafuta pambano!


Yaani siku hizi eti anacheza na wachekeshaji akina the miz! Aaagh apumzike tu kulinda heshima yake bwana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Uyo mwanamitindo alichukua world champion na hakuna aliye mnyanganya sema alipata matatizo ya kiafya.
Romal alishobokea alipewa kichapo kama mtoto...
Adi leo wanmzungusha fin balore asipigane na broke coz dogo ataaribu status za watu wanaoogopeka wwe

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
anapasha mwili joto kama wenzie wakina Rand oton nk
hawawezi kuacha moja kwa moja miili ndio itachoka zaidi...
waache wapigane wana taste yao, wwe ikijaa watoto tupu patakua hapapendezi

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
mimi nahisi Roman sikuile alikua ana stress ,ila roman siowa mchezo mchezo ,ngoja nimfatilie huyu finn

lakini namuona kama seth rolins hwana jipya

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Ule haukuwa ubingwa wa dunia (WWE heavyweight championship) bali ulikuwa ni WWE universal championship!

BTW sidhani kama brock resner ni mtu anayeogopeka, sema huwa anapewa mapambano machache sana! Akipigana mara kwa mara kama wengine utaona anapigwa kila siku na kuwa mtu wa kawaida!



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
anapasha mwili joto kama wenzie wakina Rand oton nk
hawawezi kuacha moja kwa moja miili ndio itachoka zaidi...
waache wapigane wana taste yao, wwe ikijaa watoto tupu patakua hapapendezi

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Ha ha haaaa Aya ngoja wapashe, maana alivorudi alifanikiwa kuchukua ka mkanda wa USA championship!

Mwenzake Rand anapigwa kila siku na yule muhindi Jinder Mahal, hata hili pambano wanalotegemea kupigana, (Something like hell in a cell) atapigwa tu

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Yes mimi nawakubali, sema wame lack uvumilivu
hapo ndipo reigns anapowapiga bao

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Yes mimi nawakubali, sema wame lack uvumilivu
hapo ndipo reigns anapowapiga bao

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Ila huyu Roman, strawman akipona atakachomfanyia dunia itasimama


hana akili yule jamaa

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
mimi nahisi Roman sikuile alikua ana stress ,ila roman siowa mchezo mchezo ,ngoja nimfatilie huyu finn

lakini namuona kama seth rolins hwana jipya

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Finn uziri wake ana roho ya paka

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
So unasema Roman akipigana watu wanajaa? seriously? Zile Boooooo Boooooo anazozomewa Reigns na Mashabiki tusingekuwa tunazisikia basi
Kwa sasa ni Brock Lesnar tu ambaye akipigana WWE Fans ndo huwa wanajaa, hata kwenye marketing wise kulikuwa na mporomoko wa waangaliaji wwe kwa kipindi flani ambapo Lesnar hakuwepo, alivyorudi tu kumbi zikawa zinajaa hata Rating kwenye TV ikawa kubwa
 
Yani unasema Brock Wa kawaida 😀 unachekesha sana, Mtu ambaye alienda UFC akachukua Ubingwa wa dunia kule unasema wa kawaida, Mtu aliyemvunja mkono CEO wa wwe na Shawn Michaels unasema wa kawaida, Mtu aliyempa John Cena almost 12 German Suplex unasema wa kawaida we dogo bana
 
Wapi nimesema Roman akipigana watu wanajaa? Nimesema ni marketable, je hii kauli kwako ina maana kuwa watu wanajaa akipigana?!

Tuache hilo! Hakuna mtu ambaye anashabikiwa na kila mtu WWE, lazima wawepo wanaomkubali na wasio mkubali!

Chukulia mfano John cena! Ni mtu ambaye me naweza kusema ana fan base kubwa! Lakini hii haimaanishi kuwa kila mtu anampenda, haiwezekani kitu cha namna hii kwenye mchezo uwao wote ule!


Kuhusu WWE kupoteza reputation ilikuwa ni sababu ya mwingiliano uliokuwepo kati ya Shane na Stephanie huku baba yao Vance akiwa na majukum mengi! Hadi hapo alipoamua kuwapa majukum yao kila mmoja, shane akawa CEO wa smackdown huku Stephanie akiwa CEO wa raw! Baada ya hapo kila mmoja akawa busy ku recruit wapiganaji!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Here comes another mistake of you! Sijaandika hapo kuwa ni mtu wa kawaida, nimesema sio mtu anayeogopeka!

Suala la ushabiki halikosekani kwa mtu yeyote, ndo maana hata wewe unasimama kidete kumtetea hapa. Unadhani unafanya nini kama sio ushabiki?

Get to your senses pal! So far me sina mtu permanent ninayemshabikia, mfano kwenye match yake ya mwisho na Joe nilikuwa upande wa Brock.

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…