Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Tatizo kwenye ndoa wanaume wanawekeza sana. 50/50 jamaa kaona siyo halali ya demSahiv naona wahehe wamehamia rombo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kwenye ndoa wanaume wanawekeza sana. 50/50 jamaa kaona siyo halali ya demSahiv naona wahehe wamehamia rombo
We unadhani tutawasaidiaje ikiwa wenyewe ni wabishi kusikia..!!!
Nyasa hakuna connection endelea kula dagaa [emoji38][emoji38][emoji38] jokesWatu mnafanyaje,mnadaka uzi chap[emoji23]
Kweli kabisaKama umefanikiwa kupata watoto/ mtoto kabla hujaoa basi usioe lea wanao chapa mbususu maisha yaendelee.
Kama huna mtoto basi tafuta tu mtoto ila achana na mambo ya kuoa.
Ndoa ni moto, kuoa ni kukumbatia moto huku ukijua fika kua ni moto.
Mkuu nishaaahi kufikiria mara kadhaa faida ya kuoa sijaiona zaidi ya majanga tu.Kweli kabisa
Kuoa ni majanga
Ova
Siku hizi ndoa ni kujingiza kwenye mateso tuMkuu nishaaahi kufikiria mara kadhaa faida ya kuoa sijaiona zaidi ya majanga tu.
M/Mungu akinijalia uhai nitaoa baadae sana.
Haya maamuzi yanasikitisha sana, ni kheri kuwa single kuliko ku force kuwa double mazafantazMwenyekiti wa kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi(35) amemuua mkewe, Anastasia Agustine (31) kwa kumkata kata na kitu chenye ncha kali na kisha mwenyewe kujiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mshereheshaji maarufu wilayani humo (MC), anadaiwa kutenda mauaji hayo usiku wa kuamkia leo Novemba 8, 2021.
Akithibitisha kutokea kwa mauaji hayo leo Novemba 8, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Kanali Hamis Maiga amesema wawili hao walikuwa na mgogoro wa kimapenzi, ambapo wiki moja iliyopita mke wake huyo alimpeleka dawati la jinsia Rombo.
"Huyu jamaa wiki iliyopita mke wake alimpeleka dawati la jinsia hapa wilayani, walisuluhishwa lakini inaonekana halikuisha na ni suala ambalo inaonekana ni wivu wa mapenzi, hivyo akaamua kuchukua jukumu la kumuua mkewe na kisha kujiua kwa kujinyonga," amesema Kanali Maiga.
Kanali Maiga amesema wanandoa hao wameacha watoto watatu wadogo.
MWANANCHI
Labda serikali inawatoa kafara wananchi wakeHaya mambo ya wanandoa kuuana kisa wivu wa mapenzi mbona yanazidi kuongezeka sikuhizi!
Kama unajijua una hasira mbaya na huwezi kuzicontrol bora usioe wala kuolewa
Mnajazana maneno ya kukatishana tamaa, stay away from that shit negative energy.Siku hizi ndoa ni kujingiza kwenye mateso tu
Ova
Achana nae Mungu atakulipia, ipo siku atajutia sana. Kama unaweza vichukue vitu vyako. Km ulimsomesha omba Mungu atakulipia tuu.Nimehudumia sana aisee.
Cha Hamza wa upangaAlikuwa kutokea chama gani huyu ndugu?
Si wangeachana tu.
Mwanaume yakikuzidi usijali mali na nyumba uliyojenga. Nenda mbali upate amani ya moyo wako.Kuachana ni kuzuri sana pale inapobidi sema watu hawajuagi tu.
Kuachana kunaepusha mambo kama hayo ya mauaji.
Halafu huwa nawashangaa Viongozi wa dini na ndugu jinsi wanavyolazimishaga mapatano fake ya kinafiki.
Talaka zina faida yake.