duh,,,,, huyu mheshimiwa nini kimempata........mwezi june tulikuwa nae kama MC kwenye sherehe fulani hivi......hizi ndoa hizi......sijui nini shida...Mwenyekiti wa kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi(35) amemuua mkewe, Anastasia Agustine (31) kwa kumkata kata na kitu chenye ncha kali na kisha mwenyewe kujiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mshereheshaji maarufu wilayani humo (MC), anadaiwa kutenda mauaji hayo usiku wa kuamkia leo Novemba 8, 2021.
Akithibitisha kutokea kwa mauaji hayo leo Novemba 8, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Kanali Hamis Maiga amesema wawili hao walikuwa na mgogoro wa kimapenzi, ambapo wiki moja iliyopita mke wake huyo alimpeleka dawati la jinsia Rombo.
"Huyu jamaa wiki iliyopita mke wake alimpeleka dawati la jinsia hapa wilayani, walisuluhishwa lakini inaonekana halikuisha na ni suala ambalo inaonekana ni wivu wa mapenzi, hivyo akaamua kuchukua jukumu la kumuua mkewe na kisha kujiua kwa kujinyonga," amesema Kanali Maiga.
Kanali Maiga amesema wanandoa hao wameacha watoto watatu wadogo.
MWANANCHI
Cha Hamza wa upanga
uko sahihi bro....kuna wakati roho haian subira....ila watoto sasa blaza....aiseeeeHaya Mambo acheni tu, nimewahi pitia hiyo stress ya kummaliza mtu.
Nilikuwa nimeshajiandaa kwa lolote Lile. Bahati nzuri nikapata safari ya ghafla muda huo huo. Nilivyorudi town nikawa mpya kabisa.
Sema wanawake wanakera sana Kama hayajakukuta huwezi vaa viatu vya Huyo mwanaume.
RIP
Mpoteze tuNimehudumia sana aisee.
Tumewakosea nini serikaliLabda serikali inawatoa kafara wananchi wake
Tatizo kabla ya ndoa hakuna wehu.wehu unaanza mdogo mdogo mkianza kuishi pamojaNdoa ni kwa ajili ya Mwanaume mwenye akili timamu ilikuwaje huyu bibie akaolewa na huyo mwehu
Teh tehTatizo kabla ya ndoa hakuna wehu.wehu unaanza mdogo mdogo mkianza kuishi pamoja
Dah.Mpoteze tu
Kama anazingua tafuta ustarabu mwingine
Maisha lazima yaendele
Ova
Hainaja haja ya kumdhuruDah.
Matatizo haya yapo kote koteTatizo kabla ya ndoa hakuna wehu.wehu unaanza mdogo mdogo mkianza kuishi pamoja
Siwezi ua mke wangu kisa kagawa uchi kwa mtu mwingine,nikuachana tu na huyo ndo suruhu,nawapenda watoto na ndugu zangu ambao wananitegemeaHaya Mambo acheni tu, nimewahi pitia hiyo stress ya kummaliza mtu.
Nilikuwa nimeshajiandaa kwa lolote Lile. Bahati nzuri nikapata safari ya ghafla muda huo huo. Nilivyorudi town nikawa mpya kabisa.
Sema wanawake wanakera sana Kama hayajakukuta huwezi vaa viatu vya Huyo mwanaume.
RIP
Hamjaikosea kitu, ila damu zenu ni muhimu ili unyonyaji wao uwe smoothTumewakosea nini serikali
Aisee kazi kweli kweliHamjaikosea kitu, ila damu zenu ni muhimu ili unyonyaji wao uwe smooth
Ndoa ni kwa ajili ya Mwanaume mwenye akili timamu ilikuwaje huyu bibie akaolewa na huyo mwehu