Rombo: Miaka 30 jela kwa kumlawiti mwanaume mwenzie

Rombo: Miaka 30 jela kwa kumlawiti mwanaume mwenzie

Hii ndio nzuri nimeipenda!
Anayetindua ndio afungwe
Wanaotindua wanawake pia wafungwe
 
Ndio hivyo kuna kuchomekewa kesi pia kwa hio mambo ni mengi sana,
Ktk case ya ushoga, anaeweza kutengua ni anae ingiliwa yule ndo msingi mkuu wa case, hata huyu wa mtwaraa kuna sehemu alikwamaaa sijui ni uogaa, au hajui sheria daaah

Huoni afande kakana na video iko wazi, akizidisha hoja anakuwa huruu afandee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ktk case ya ushoga, anaeweza kutengua ni anae ingiliwa yule ndo msingi mkuu wa case, hata huyu wa mtwaraa kuna sehemu alikwamaaa sijui ni uogaa, au hajui sheria daaah

Huoni afande kakana na video iko wazi, akizidisha hoja anakuwa huruu afandee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh noma sana mkuu,
 
Ingelikua Zanzibar mada ingelijaa matusi na kebehi. Kwa vile ni wagaltaya malalamiko ni light kabisa.
 
Katika katiba mpya ikitokea ikawepo naomba hili suala liwepo kama lilivyo kwa katiba hii iliopo kwamba mi*kund.u ni mali ya serikali matumizi yeyote kinyume na kunya iwe ni matumizi mabaya ya mali za umma
 
Watu wanao wagonga mashoga ndo wanatakiwa kuchukuliwa hatua kali zaidi. Maana wao kwani wana shida gani wanapitia kihisia mpaka kuwagonga wanaume wenzao??! Hawa ndo wapewe adhabu kali zaidi kwa kuliendeleza hili swala
 
Unafki mtupu. First tupe full information. Km wameridhia au ubakaji? Km wote wameridhia waachiwe tu coz ni adults na Hamna aliyebakwa Wala Hakuna mtoto. Kwa nyie mnayefurahia cjui anyongwe mnachekesha sana. This is hypocrisy at the same level as classism coz we know mastaa wengi na wanasiasa wengi maarufu are also gay and would never be punished like this Wala Hamna mw jeuri ya kuwafuata so wanaonewa ni hawa poor people who are ignorant of the law au even fair representation from their lawyers kutokukubali kitu; either way hamjui what is happening leo au Kesho kw hii democracy ya maneno tu anyone anaweza singiziwa gay basi 30 years. Ujinga mtupu. That being say tunaomba gvt pia iingie vyumbani mwa heterosexuals pia coz they can have oral or anal sex which are also crimes. Again anal sex and oral sex is what's a crime not a man claiming to be gay and having no evidence Km ame fanya anal sex kwani pia not all gay men have anal sex.
 
Hii hukumu ya kuhasi ingelikuwa mujarab kwa makosa kama hayo.

Na nadhani ingeliondoa kabisa uhayawani huo.

Zingelikuwa zinang'olewa halafu anaachiwa huru.

Simba kibogoyo huishia kuunguruma tu hawezi kung'ata tena!

Kumtamani mwanamke wakati ushaondolewa uwezo wa kumlala, ni adhabu kubwa sana ya kisaikolojia kwa mwanaume kuzidi hata hiyo ya jela.
 
Back
Top Bottom