stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mwambie Kamala arudi kwao basi km umemchoka,HIZI THREAD ZA USHOGA TUMEZICHOKA..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie Kamala arudi kwao basi km umemchoka,HIZI THREAD ZA USHOGA TUMEZICHOKA..
Ktk case ya ushoga, anaeweza kutengua ni anae ingiliwa yule ndo msingi mkuu wa case, hata huyu wa mtwaraa kuna sehemu alikwamaaa sijui ni uogaa, au hajui sheria daaahNdio hivyo kuna kuchomekewa kesi pia kwa hio mambo ni mengi sana,
NamatiioKwameila
Duuuh noma sana mkuu,Ktk case ya ushoga, anaeweza kutengua ni anae ingiliwa yule ndo msingi mkuu wa case, hata huyu wa mtwaraa kuna sehemu alikwamaaa sijui ni uogaa, au hajui sheria daaah
Huoni afande kakana na video iko wazi, akizidisha hoja anakuwa huruu afandee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh noma sana mkuu,
Hawa watu hata kuwanyonga ni kuwapendelea, wanatakiwa wawekwe kwenye nyumba ya panya wamwagiwe mchuzi wa dagaa, wafungwe mikonoMiaka 30 kidogo sana wanyongwe
Zanzibar sinikawida hii kitu ya sunnaIngelikua Zanzibar mada ingelijaa matusi na kebehi. Kwa vile ni wagaltaya malalamiko ni light kabisa.
Hii hukumu ya kuhasi ingelikuwa mujarab kwa makosa kama hayo.Ahasiwwe