Rommy Jones amwita Gabo Zigamba mshamba

Rommy Jones amwita Gabo Zigamba mshamba

Hit maker wa ngoma ya bora iwe Rommy Jones ambaye amemshirikisha Baraka the prince mpenzi halali kabisa wa ex wa Mr Blue hapa namzungumzia Naj , Rommy Jones ameibua hisia za chuki kwa baadhi ya mashabiki wa Gabo Zigamba baada ya kumwita Gabo kwamba ni mshamba aliyepitwa na wakati .

Kauli hii baadhi ya wadau waiisapoti huku wengine wakiwa wamechukizwa sana na kauli hiyo na kuwambia Rommy Jones aache tabia za kike kwa kuwa haipendezi kwa mwanaume kumdhalilisha mwanaume mwenzake mbele za watu.

Rommy alimwita hivyo Gabo baada ya Wema Sepetu kupost picha akiwa na Gabo na Wema akaandika BEST ACTOR & ACTRESS 2018 , ila kutokana na pozi la kiajabu ajabu alilokuwa ameweka Gabo ambalo kwa haraka haraka ilikuwa inaonesha kama anamuogopa Wema ,Rommy hakusita kumchana Gabo kwa kuzubaa zubaa na akamuita ni mshamba sana Gabo japo kwa sasa anajifanya mtoto wa mjini.

Wadau mbalimbali mpaka sasa bado wanasubiri kuona Gabo atamjibu Rommy kutokana na kudhalilishwa na Rommy .

View attachment 764076
Sasa ushamba uko wapi?? Yeye alitaka afanyeje??
 
Kiukweli kutoka moyoni nakiri Gabo ni mshamba sana tena hana swag iwe movie iwe kitaa Yaan hata huwa najiuliza hivi eatv wanapataje ujasiri wa kumpa promo mtu kama gabo???

Yaan hata wanaompigiaga kura najiuliza wana chuki na Rey au wana chuki na Tino??

Au kanumba alivokufa watu wamechanganyikiwa hawajui nani awe bora???

Hii mambo ha kusapoti kinachosapotiwa na media, mtakuja kusapoti ushoga baadae.
 
Baada ya kumshinda kiba naona mmegeukia kwa Gabo,kwa taarifa tu gabo ndio muigizahi bora kwa wakat wote baada ya Kanumba,kwa maono yangu.. Halaf hatafutag kiki za kishwain
 
Mwenzie anavuna mataji yeye kakalia wivu wa kike na mipasho!
 
Aliyeleta uzi huu ni mwanaume au mwanamke..?? Kama ni demu basi kicheche na kama ni mshkaji basi ni dege...
 
Hit maker wa ngoma ya bora iwe Rommy Jones ambaye amemshirikisha Baraka the prince mpenzi halali kabisa wa ex wa Mr Blue hapa namzungumzia Naj , Rommy Jones ameibua hisia za chuki kwa baadhi ya mashabiki wa Gabo Zigamba baada ya kumwita Gabo kwamba ni mshamba aliyepitwa na wakati .

Kauli hii baadhi ya wadau waiisapoti huku wengine wakiwa wamechukizwa sana na kauli hiyo na kuwambia Rommy Jones aache tabia za kike kwa kuwa haipendezi kwa mwanaume kumdhalilisha mwanaume mwenzake mbele za watu.

Rommy alimwita hivyo Gabo baada ya Wema Sepetu kupost picha akiwa na Gabo na Wema akaandika BEST ACTOR & ACTRESS 2018 , ila kutokana na pozi la kiajabu ajabu alilokuwa ameweka Gabo ambalo kwa haraka haraka ilikuwa inaonesha kama anamuogopa Wema ,Rommy hakusita kumchana Gabo kwa kuzubaa zubaa na akamuita ni mshamba sana Gabo japo kwa sasa anajifanya mtoto wa mjini.

Wadau mbalimbali mpaka sasa bado wanasubiri kuona Gabo atamjibu Rommy kutokana na kudhalilishwa na Rommy .

View attachment 764076
mond bora angemuachaga huyu boya nw angekuwa shoga aliyekubuh km james delicious...tid mzee kigogo rom alikuwa km dem wake..ashukur mond kumuokoa.
 
Mbona jambo ka kawaida kwa wanaume kutaniana? sasa cha kushangaa hapo ni nini?? Ndio kapozi kama anaogopa hajajiachia vzr kiume angeweka hata mkono mmoja mfukoni huo ulobaki ndo angekunja ili sepetunga aingize mkono wake
 
hii nayo ni habari...no wonder bado ccm inaendelea kutawala!
 
Japo namkubali sana Gabo, lakini kiukweli ana kaushamba fulani, japo Rommy hajafanya poa.
 
Back
Top Bottom