Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga ua garagaza mzee mzima Gaucho alikuwa king Barca nimeamua kumlinganisha na Messi baada ya kuona mafanikio alioyapata akiwa Barca
Dah, Mkuu hii ni mpya hebu fafanua.Mkuu yo yo huyo kiumbe wa kuitwa Dinho ni habari nyingine.
ni mchezaji pekee aliewahi kushinda man of the match pasipo kuwepo uwanjani.
Piga ua garagaza mzee mzima Gaucho alikuwa king Barca nimeamua kumlinganisha na Messi baada ya kuona mafanikio alioyapata akiwa Barca
Pia Dinho alishinda tuzo ya mwanasoka wa Dunia kipindi hata Malaika wanadekea soka.
Sio kipindi hiki cha Soka kanjanja lililojaa salakasi na uhanithi wa Blatter.
Dinho kashinda tuzo Zidane, De Lima, Figo, Del Piero, Shevshenko, na alama nyingine za Soka zikiwa uwanjani na kwenye pic ya hatari.
Hakika Dinho ni mbarikiwa.
Kila mtu na zama zake! Dinho ni entertainer wakati Messi ni mtu wa kazi. Ni kama Dansi (Dinho) na Hip Hop (Messi).
Dah, Mkuu hii ni mpya hebu fafanua.
soka tofauti na ngoma ya mdumange kwamba anayekatika vizuri ndo mshindi. chezea messi weye!
na unapotaka kumfananisha Saint Gaucho na Nesi basi unatakiwa uanze na neno 2002 world Cup Winner Ronaldo de Assis Morreira also known as Ronaldinho Dinho Gaucho...
Hah hah hah haaaaah mchezaji aliewahi kupata kufanya miujiza katika dimba la El Santiago Bernabeu na kupelekea washabiki viburi wa Madrid kuinuka na kumpigia makofi huku wakimsujudia.
Kwa wachezaji wa Barca ni Dinho na Maradona tu waliowahi kupewa heshima hiyo na washabiki wa Madrid.
Chezea Dinho wewe?
Utaarisha.