Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi Barcelona

Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi Barcelona

Haya futa mikohozi hiyo...
Dinho amefunga magoli ambayo wewe na ubongo wako uliojaa makamasi huo unayakumbuka.
Dinho kafanya miujiza ya soka ambayo wewe unaikumbuka.
Dinho ni alama ya Soka kwa watu wa Soka..

Ngonjera hizi, sioni point.

Kama dinho ni alama ya soka, unaweza kunionesha jina lake hapa kwenye list
Below are the results of a poll by International Federation of Football History & Statistics (IFFHS) for the best Brazilian player of the 20th century.[SUP][53][/SUP][SUP][54][/SUP]
[TABLE="class: cms_table_wikitable"]
[TR]
[TH]#[/TH]
[TH="width: 150"]Name[/TH]
[TH="width: 100"]Career[/TH]
[TH="width: 40"]Votes[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TD="align: left"]Pelé[/TD]
[TD]1957–1971[/TD]
[TD]220[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2[/TD]
[TD="align: left"]Garrincha[/TD]
[TD]1955–1966[/TD]
[TD]142[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TD="align: left"]Zico[/TD]
[TD]1971–1989[/TD]
[TD]51[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4[/TD]
[TD="align: left"]Zizinho[/TD]
[TD]1942–1957[/TD]
[TD]40[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TD="align: left"]Arthur Friedenreich[/TD]
[TD]1912–1935[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Tostão[/TD]
[TD]1966–1972[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7[/TD]
[TD="align: left"]Didi[/TD]
[TD]1952–1962[/TD]
[TD]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Leônidas[/TD]
[TD]1932–1946[/TD]
[TD]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9[/TD]
[TD="align: left"]Nílton Santos[/TD]
[TD]1949–1962[/TD]
[TD]12[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Ronaldo[/TD]
[TD]1994–2011[/TD]
[TD]12[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11[/TD]
[TD="align: left"]Romário[/TD]
[TD]1987–2005[/TD]
[TD]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12[/TD]
[TD="align: left"]Falcão[/TD]
[TD]1976–1986[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Rivelino[/TD]
[TD]1965–1978[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14[/TD]
[TD="align: left"]Ademir da Guia[/TD]
[TD]1965–1974[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15[/TD]
[TD="align: left"]Luís Pereira[/TD]
[TD]1973–1977[/TD]
[TD]7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]16[/TD]
[TD="align: left"]Carlos Alberto Torres[/TD]
[TD]1964–1977[/TD]
[TD]5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17[/TD]
[TD="align: left"]Domingos da Guia[/TD]
[TD]1931–1946[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18[/TD]
[TD="align: left"]Ademir[/TD]
[TD]1945–1953[/TD]
[TD]3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19[/TD]
[TD="align: left"]Bebeto[/TD]
[TD]1985–1998[/TD]
[TD]2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Jairzinho
[/TD]
[TD]1963–1982[/TD]
[TD]2
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hawa ndio manguli wa Kibrazil wanaowania tuzo ya mwanasoka wa karne wa Brazil, simuoni huyo Mr. Alama ya Soka wako.

We piga kelele weeeee, lkn ukitaka kumshawishi mtu aamini unachoamini njoo na facts sio ngonjera ulizopost hapa
 
2012-01-15_PARTIDO_03.v1326663009.JPG


Mwenyewe hajui kuna watu huku Third World hawanywi maji kisa yeye na mguu wake wa kushoto. Naamini siku Messi akijichanganya aje National Stadium kama alivyojichanganya Kaka, atapigwa manati huyu mpaka ajute kwa anavyochukiwa na Gang Chomba & Co

Hebu cheki na hii

2012-02-07_MESSI_ORO_12resize.v1355850461.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ronaldinho is the man that makes the difference between a
team that plays well and another that is really
memorable. He alone can decide one game” (Frank
Rikjaard – Barcelona’s Coach)
 
“Ronaldinho is technically very good, but also very
strong physically. He was against three players and
I could not stop him. After that goal everything
ended for us” (John Terry – Chelsea player)

Kauli hiyo ilitolewa na bwana John Terry alipokuwa anayazungumzia maajabu yaliyofanywa na Mtakatifu ambaye pia ni nabii wa Soka.

Forza Dinho
 
Mwana Mtoka Pabaya well done umejitahidi kuwapa darasa huru km hawajaelewa basi km ulivyosema maiti hana darasa
 
Mwana Mtoka Pabaya well done umejitahidi kuwapa darasa huru km hawajaelewa basi km ulivyosema maiti hana darasa


“I would love to face him again because I like to
play against the best players. Ronaldinho is on his
way for making magic in football.” (Frank Lampard – Chelsea
player)
 
wp_messi_or_eng.v1358156821.jpg


Nimekuwekeeni hii makusudi ili muanze kuikosoa suti, manake uwanjani Stats zimewaumbua. Haya anzeni na suti
 
"I would love to face him again because I like to
play against the best players. Ronaldinho is on his
way for making magic in football." (Frank Lampard – Chelsea
player)

Hizi ngonjera zako hazimpandishi mtu kiwango, tuzo bana. Mwenzio mama Yo Yo alichokoza hapo kwenye fulani kasema akakimbia mwenyewe.

Michal Kadlec
"When you play against such a player (Messi), then you always want his shirt"

Pep Guardiola
"Put in the superlatives yourselves, I'm running out. It's already been a while now that he has been outstanding. He's more than decisive in every way. That he's capable of doing everything that he does at his age is something impressive, that doesn't make any sense.

"The best players are always in the thick of the action. (Michael) Jordan did it with the Bulls, (Kobe) Bryant does it with the Lakers and Leo does it here. We want him to stay with us because he's the best and we wouldn't swap him for anyone."

"Messi is an irreplaceable player, today if he was here we would have won 5-0 but he was not and we had to play another in his place."

Diego Maradona

"I have seen the player who will inherit my place in Argentine football and his name is Messi. Messi is a genius and he can become an even better player."

"His potential is limitless and I think he's got everything it takes to become Argentina's greatest player."
"Messi I think is like me, he is the best in the world along with Ronaldinho."

Frank Rijkaard

"He's a unique player and he deserves it, because he can do things of almost imperceptible excellence and is a gem to watch."

Johann Cruyff

"He deserves ten out of ten for doing what he does. He is a sensation, but still he can improve. He must know when to move the ball on quickly and when to try the impossible mission. When he learns this, he won't win a single Golden Ball, but an entire collection."

Carlos Tevez

"His speed is astonishing. It's amazing how he can go 1 to 100 in just one second. I'm constantly around great players like Cristiano and Rooney, But this guy is just a step up above every other great footballer out there at the moment, Not only is he quick, determined, and extremely intelligent on the ball, but his movement off the ball is just as fantastic – unbelievable to sum it up in a word."


Juan Sebastian Veron

"I see Maradona every time he grabs the ball and accelerates. We must protect him. I'd personally put him in a drawer of my bedside table." (Hapa najua hutaelewa: Veron anamaanisha, kila Messi anapochukua mpira, yeye anakuwa kama anamuona Maradona)

Gilberto

"Messi's plaudits are hard to accept, we play in other countries and we do not see the local fans supporting our players there. Over 40 thousand Brazilians applauded, and that's hard for who is on the field. When I see them applauding Messi I get annoyed."

Julio Grondona

"Without Messi there isn't a team for Argentina, Messi is brilliant, different, with a strong mentality. Let's hope he doesn't change."

Jose Mourinho

"The best way to stop Messi is when you play with 11 men and then you can double mark him, one player to stay on him and the other to help out. If it is 11 against 10 then you have almost no chance of stopping him."

Karl-Heinz Rummenigge

"Nobody was so wonderful at 19 years, neither Pele nor Maradona."

Fernando Gago

"For me, the best in the world is Messi because of the way he plays, moves with the ball and changes matches, Messi has incredible ability and I love the way that he plays."

"Messi is the best player in the world by some way, I always thank God that he is an Argentine, not just as a player, but as a person too. I have known him since I was 18, he is incredible, a very good person and we are very good friends. Right now, he is at another club, and we have a little bit of a rivalry, but the friendship is larger and stronger."

Theirry Henry

"I have the possibility to watch Messi in training each morning, and because of what he demonstrates he is the best player in the world, he stated during a press conference. It is a pleasure to watch him, and because of the way he plays he is an undisputed leader of the Barcelona team."

Antonio Cassano
"Ronaldinho is better than Cristiano Ronaldo, but neither are as good as Leo Messi."

Sergio Aguero

"Nowadays, Messi is better than Ronaldinho. He is the best footballer in the world right now. And I'm not the only who says so. Everyone who has seen him play says so too."

Pele

"I knew when we gave Kaka the FIFA World Player of the Year award that he (messi) would become the best player in the world. With young people like him we need patience and that is the problem we have in Brazil."

Luiz Inacio Lula da Silva
(Huyu ni aliyekuwa Rais wa Brazil)
"When I see Messi – who is the best player in the world in my opinion – lose the ball, he runs off until he gets it back or commits a foul. Our guys lose the ball and fold their arms."

Juan Laporta
"This year at Barcelona team spirit is dominating but players like Messi show there is individuality too. He is a virtuoso player who is determined and fast with the ball at his feet….he is a mixture of Maradona and Cruyff."

Carles Puyol

"He is a spectacular player, there is nobody else like him. I should not because I have suffered so much in training. I think he is the best forward at the moment and I think he will be so for many more years. He has his feet on the ground."

Cesc Fabregas

"He has a great future if he can stay clear of injuries. For me, he is the best there is."

Ronaldinho
"Every time he plays, Leo Messi reminds me more of Maradona, both left-footed and short, Messi is the best player in the world, along with Kaká and Cristiano Ronaldo. For us it is not a surprise. Since he began to come and train with us and we knew we would go down this path. Someday I will explain that I was at the birth of one of the footballing greats: Leo Messi."

Txiki Begiristain

"He is priceless. Right now, in Messi, Barcelona has the best soccer player on planet Earth."

Marcello Lippi

"The best? Messi"

Daniel Alves

"Lionel Messi? When I played against him at Sevilla it was always very difficult, so now I'm pleased that we're on the same side. He's just fantastic."

Mikel Arteta

"It is as if someone commands him from the stands, like a video game. I have never seen a human run with the ball at that speed. I have not seen Maradona so I cannot compare, but Messi is simply unbeatable."

Raul
"The other day I saw one of his games. He was running with the ball at a hundred percent full speed, I don't know how many touches he took, maybe five or six, but the ball was glued to his foot. It's practically impossible!"

Xavi
"It is clear that Messi is on a level above all others. Those who do not see that are blind."

Johnny Heitinga

"I believe that I played well against Barcelona, the problem was that Lionel Messi was simply unstoppable."


Arsene Wenger

"He's like a PlayStation"

Na mimi sio wewe wa kuja na maneno yasiyo na ushahidi, fuata link uumbuke. Yazingatie maneno ya Ronaldinho mwenyewe, Arsene Wenger, Karl -Heinze Ruminegge, Antonio Cassano na Sergio 'Kun' Aguero, naamini hao watakusaidia kumuelewa Lionel Andres 'Leo' Messi.

Bofya hapa What do other stars say about Messi

Halafu mbona wewe huleti ushahidi? Mimi nashangaa unaongea hisia tu tena kwa kulazimisha lkn nimekuwekea majedwali hutoi majibu. Nimekuuliza kama Gaucho ni nguli, kwenye lile jedwali la Wabrazil 20 yeye yupo namba ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Pantallazo_Messi_France_Football.v1357925138.jpg


Yawezekana Gang Chomba usielewe, hili ni kabati la Messi, sio la timu.

Siku huyu dogo akiambiwa abebe haya madini kwa mgongo ndani ya gunia hakyanani lazima avunjike mgongo
 
Last edited by a moderator:
640x360_messi_4_pilotes_V2.v1357586434.jpg


Gang Chomba na mama Yo Yo hawatachelewa kusema ni photoshop, sio nyie vipi! Ni kweli kachukua mara zote 4 tena mfululizo. Bado moja halafu nitawaombea POO
 
Last edited by a moderator:
Kabati halina world cup hilo...
Mavi matupu.

Mbona unaongea upumbavu wewe, ndio maneno gani sasa hayo? Jifunze kujiheshimu mpuuzi wewe, kila saa mavi, mavi mbona una akili za kijinga. Twende kwenye mada, hamna haja ya kuongea mambo ya kipumbavu kama juha.

Nimekwambia hilo ni kabati la Messi, World Cup haikai kwa mchezaji. Hilo kabati linaonesha mafanikio binafsi ya Lionel Messi na sio timu ya Argentina. Hata huyo Gaucho hakuipa ubingwa Brazil yeye peke yake na ndio maana kwenye 20 wanaogombea tuzo ya Mchezaji wa Karne hayumo kabisa.

Argentina kuchukua ubingwa sifa ni kwa timu ya Argentina na sio kwa Messi kama ambavyo Barcelona kuchukua ubingwa sifa ni kwa timu na sio kwa Messi. Mimi nimezungumzia tuzo alizopata Messi na sio Barcelona.

Acha maneno ya kijinga. Kama unataka kuzungumza ujinga nenda FB
 
Am not a fan of Messi neither Barca ila ukimfananisha na Dinho ni sawa na usingizi na kifo, Messi ni from another planet, his records speak for themselves.

Halafu katika ulimwengu huu wa soka la sasa, world cup imepoteza umaarufu siku nyingi sana probably the last REAL world cup ilikua 1994 USA, wakati kina Romario, Bebeto, Baggio, Barres, wakiwa on top of the world, hicho ndio kipindi cha mwisho ulikua unaangalia soka la team za mataifa na unaenjoy, siku hizi to be honest ni Spain tu labla na Germany kidogo unaweza ukakaa na ukaenjoy their football, siku hizi hata Brazil inaboa.

Kombe lenye heshima na thaman katika soka la sasa ni Uefa Champions League,na ni katika mashindano haya wataalamu wa soka wanasema ndio mpira wa kiwango cha juu sana unachezwa, sio world cup.

So kusema Dinho ni bora sababu ya world cup ni upuuzi halafu ni nje ya topic coz thread inauliza ubora wao wakiwa Barca sio kwenye team za taifa infact hilo kombe la 2002 sio Dinho aliyekua the iconic figure wa the samba boys but,The El Phenomena, Ronaldo de Lima akifuatiwa na Rivaldo.

Kusema "No dinho,no soka" au "dinho was the reason many start to watch football" ni crime against the good game of football lakini pia ni uvivu wa kufikiri, Dinho ni mwepesi sana ukimuweka kwenye mizani na kina Zidane, Ronaldo de Lima, Messi,CR7 (and please don't compare this mediocre with the Graet Zinedine Zidane 'Zizou', the scientist)

"When it comes to football Messi is and will always be BETTER than Ronaldinho,in this life or the after life, ila kwenye kukata mauno, Dinho will always win"
 
Am not a fan of Messi neither Barca ila ukimfananisha na Dinho ni sawa na usingizi na kifo, Messi ni from another planet, his records speak for themselves.

Halafu katika ulimwengu huu wa soka la sasa, world cup imepoteza umaarufu siku nyingi sana probably the last REAL world cup ilikua 1994 USA, wakati kina Romario, Bebeto, Baggio, Barres, wakiwa on top of the world, hicho ndio kipindi cha mwisho ulikua unaangalia soka la team za mataifa na unaenjoy, siku hizi to be honest ni Spain tu labla na Germany kidogo unaweza ukakaa na ukaenjoy their football, siku hizi hata Brazil inaboa.

Kombe lenye heshima na thaman katika soka la sasa ni Uefa Champions League,na ni katika mashindano haya wataalamu wa soka wanasema ndio mpira wa kiwango cha juu sana unachezwa, sio world cup.

So kusema Dinho ni bora sababu ya world cup ni upuuzi halafu ni nje ya topic coz thread inauliza ubora wao wakiwa Barca sio kwenye team za taifa infact hilo kombe la 2002 sio Dinho aliyekua the iconic figure wa the samba boys but,The El Phenomena, Ronaldo de Lima akifuatiwa na Rivaldo.

Kusema "No dinho,no soka" au "dinho was the reason many start to watch football" ni crime against the good game of football lakini pia ni uvivu wa kufikiri, Dinho ni mwepesi sana ukimuweka kwenye mizani na kina Zidane, Ronaldo de Lima, Messi,CR7 (and please don't compare this mediocre with the Graet Zinedine Zidane 'Zizou', the scientist)

"When it comes to football Messi is and will always be BETTER than Ronaldinho,in this life or the after life, ila kwenye kukata mauno, Dinho will always win"

Thenk yu sana!

Watu (kwa chuki zao binafsi na wivu) wanashindwa kutumia akili zao vyema. What they say ni sawa na kusema 'Bakhresa hawezi kuwa tajiri zaidi ya El Faroukh kwa kuwa Tanzania si tajiri zaidi ya Nigeria'.

Tuwekeni tofauti kati ya mafanikio binafsi ya mchezaji na mafanikio ya timu. Messi hawezi kulaumiwa sababu ya failures za Argentina, Messi alaumiwe kwa kushindwa kwake kama mchezaji.

Kwako Gang Chomba, World Cup 2002 (Shukrani kwake Mourinho) ilitawaliwa na Ronaldo de Lima aliyefanya featuring kwenye nyimbo za Rivaldo kiasi wakamtoa machozi Oliver Kahn. Ronaldo alifunga magoli 8, Rivaldo 5 na Gaucho 2.

Mkuu Mourinho, salute kwako, World Cup ya mwisho yenye mvuto ilipigwa 1994 kwani kulikuwa na mastaa kila timu ilitisha.

Romario, Dunga na Bebeto - Brazil
Gheorghe Hagi - Romania
Captain Uche, Jay Jay Okocha, Rashid Yekin - Nigeria
Patrick Mboma, Omam Biyiki, Rigobert Song - Cameroon
Maradona - Argentina
Dino+Roberto Baggio........jamani list ya manguli inatisha. Ile ndio ilikuwa ndio WC na kidogo 1998 kwa uwepo wa Zidane, Ronaldo na Figo.

Huyu aliyesema wenzake wamekuja kwa shemeji zao enzi za Messi yaelekea na yeye hakukuwepo 94 ndio maana hamjui Romario wala Okocha. Hajamuona hata Umit Duvala wa Turkey na Rustu.

Na ile ndio ilikuwa Brazil, zingatia Sergio na Elber pamoja na kiwango chao Bayern Munich bado hawakuwa wakipata namba kwenye National Team. Jamani soka halijadiliwi kwa jealous.
 
Last edited by a moderator:
Thenk yu sana!

Watu (kwa chuki zao binafsi na wivu) wanashindwa kutumia akili zao vyema. What they say ni sawa na kusema 'Bakhresa hawezi kuwa tajiri zaidi ya El Faroukh kwa kuwa Tanzania si tajiri zaidi ya Nigeria'.

Tuwekeni tofauti kati ya mafanikio binafsi ya mchezaji na mafanikio ya timu. Messi hawezi kulaumiwa sababu ya failures za Argentina, Messi alaumiwe kwa kushindwa kwake kama mchezaji.

Kwako Gang Chomba, World Cup 2002 (Shukrani kwake Mourinho) ilitawaliwa na Ronaldo de Lima aliyefanya featuring kwenye nyimbo za Rivaldo kiasi wakamtoa machozi Oliver Kahn. Ronaldo alifunga magoli 8, Rivaldo 5 na Gaucho 2.

Mkuu Mourinho, salute kwako, World Cup ya mwisho yenye mvuto ilipigwa 1994 kwani kulikuwa na mastaa kila timu ilitisha.

Romario, Dunga na Bebeto - Brazil
Gheorghe Hagi - Romania
Captain Uche, Jay Jay Okocha, Rashid Yekin - Nigeria
Patrick Mboma, Omam Biyiki, Rigobert Song - Cameroon
Maradona - Argentina
Dino+Roberto Baggio........jamani list ya manguli inatisha. Ile ndio ilikuwa ndio WC na kidogo 1998 kwa uwepo wa Zidane, Ronaldo na Figo.

Huyu aliyesema wenzake wamekuja kwa shemeji zao enzi za Messi yaelekea na yeye hakukuwepo 94 ndio maana hamjui Romario wala Okocha. Hajamuona hata Umit Duvala wa Turkey na Rustu.

Na ile ndio ilikuwa Brazil, zingatia Sergio na Elber pamoja na kiwango chao Bayern Munich bado hawakuwa wakipata namba kwenye National Team. Jamani soka halijadiliwi kwa jealous.

Kuna uwezekano wa chuki binafsi na wivu wa kike unaowafanya wawe vipofu au wazi-ignore facts, coz may be world cup ya 1994 ni mbali kwa mamluki wengi ila nauhakika WC ya 2006 si mbali, muulizen huyo mkata viuno alifanya nini kwenye team yake, coz we all know 2002 alikua nyuma ya vivuli vya Ronaldo na Rivaldo, 2006 ilikua time yake coz kina Ronaldo walikua kwenye 30's huko wanaelekea kustaafu, 1/2 final walikutana na France, Zizou akiwa 34 yrs old aliwachezesha kwata wabrazil kwa namna alivyotaka na zawadi kutoka uarabun za kanzu kwa kina Dinho, kaka.

Ingekua National side that counts tusingekua na icons katika soka kama Weah, Nedved, Shevshenko na others.

Tukubaliane na facts kwamba Messi ni wa aina yake, and why do u think they called him "Mess"?
 
Last edited by a moderator:
Mbona unaongea upumbavu wewe, ndio maneno gani sasa hayo? Jifunze kujiheshimu mpuuzi wewe, kila saa mavi, mavi mbona una akili za kijinga. Twende kwenye mada, hamna haja ya kuongea mambo ya kipumbavu kama juha.

Nimekwambia hilo ni kabati la Messi, World Cup haikai kwa mchezaji. Hilo kabati linaonesha mafanikio binafsi ya Lionel Messi na sio timu ya Argentina. Hata huyo Gaucho hakuipa ubingwa Brazil yeye peke yake na ndio maana kwenye 20 wanaogombea tuzo ya Mchezaji wa Karne hayumo kabisa.

Argentina kuchukua ubingwa sifa ni kwa timu ya Argentina na sio kwa Messi kama ambavyo Barcelona kuchukua ubingwa sifa ni kwa timu na sio kwa Messi. Mimi nimezungumzia tuzo alizopata Messi na sio Barcelona.

Acha maneno ya kijinga. Kama unataka kuzungumza ujinga nenda FB

Mwana Mtoka Pabaya unajua Gang Chomba mzee wa AC MIlan mi sielewi kwa nini anaweka ubishi kwenye mambo ambayo hayaihitaji kubishiwa. Argentina will soon win the World Cup lakini Argentina ku win wold cup haitakuwa kigezo cha kusema Aguero ni bora, au Messi ni bora. Team success na Player success ni vitu viwili tofauti.ndio maana leo timu langu la Liverpool liko hoi, lakini Luis Suarez is at the top of the best performers of Premier league this season. Sasa kama Gang Chomba unataka kuendelea kuwa mbishi tu bila data basi ngoja tukuache uendelee kubisha kama mtu anayekazana kuiamsha maiti akiamini itainuka.
 
tumalize ubishi tutafute replay za dinho na messi wakicheza kwenye club na wakicheza kwenye kombe la dunia then tupige kura, kwa mtazamo wangu dinnho atashinda, kama kuna mtu anabisha tupige kura huma JF tuone nani zaidi
 
Gang chomba ameshachanganyikiwa toka AC milan ipangiwe Barcelona champions league knock out stage,,, anajijua kabisa chama lake limeshaaga mashindano na messi lazima amshikishe adabu...

Mkuu uliyesema world cup ya mwisho ya ukweli 94 umeongea ukweli kabisa mi niliona marudio espn classic kweli ilikuwa balaaa kwanza ilipigwa USA the land of opportunity game zinapigwa california, texas, Alabama, Washington, new york na kwingineko kwenye viwanja vya american football mashabiki zaidi ya Laki wamejaaaa.. Na marekani ilivyo tamu kwenye sports mpaka raha yaaani,, kuna george hagi romania, Srochikov burgaria na wengineo kibao...

Nilitaamani ile world cup ingerudiwa upya... Maaana kitu ATLANTA game ya nigeria na italy ilikuwa balaaaaaaaaa
 
tumalize ubishi tutafute replay za dinho na messi wakicheza kwenye club na wakicheza kwenye kombe la dunia then tupige kura, kwa mtazamo wangu dinnho atashinda, kama kuna mtu anabisha tupige kura huma JF tuone nani zaidi

Tupige kura za nini wakati data zipo plainly for everyone to see? Tupige kura za nini wakati facts speak for themselves kwamba Messi is untouchable? Nani kakwambia kura za JF zitabadili facts na opinions za ulimwengu kwamba Messi ni daraja moja na Pele na Maradona?
 
Back
Top Bottom