Huyo alonso14 msingwkuwa mnamjibu commet zake...ila kadiri mnavyomjibu mnampa bichwa...achanen naeAnza wewe
Unakijua unschokiandika ww?
We mtoto upumbav utaacha lini, tabia za kike kenge kweli weHuyo hana chochote zaidi ya kujipiga vyenga ndyo maana record zake binafsi za barca na Brazil zimefunikwa na neymar Jr
Aiseee...nakumbuka yeye ndo aliyenifanya niipende barc.sikuwa mshabiki wa barca ila yeye alinifanya niipende barca..nakumbuka jamaa alikuwa akiweka mpira kwenye paja kuupata ni ishu.anakutunishia msuli na hiwezi kuupata hata kwa dawa..ukimchezea rafu yeye hajali anacheka tu..dinyo ni habari nyingine acheni tu hawa akina mess na ronaldo wafunge magoli ila yeye atabaki kuwa hero
Usije hapa jukwaani uonekane na wewe unajua mpira, binafsi siwezi kubishana na mtu mwenye akili ya kukariri, takwimu unazotaka wewe ni za magoli na ndipo napoona nazungumza na kilaza asiejua soccer, unaijua tofauti ya nafasi aliokua anacheza gaucho na messi? Kila mmoja ana majukumu yake kwahivyo usitegemee takwimu zao kufanana, kasome majukumu ya messi na gaucho ndo urudi hapa , ndo nyinyi mtaanza kubishana nani zaidi kati ya hazard na ngolo kante.Kwa akili yako tu ya kuzaliwa kaka unataka kumcompare gaucho na huyu KING MESSI Mwargentina!!!! Rudi utafakari upya kaka. While Gaucho hajafikia hata robo ya king Messi. U know that mjomba mtu unapojadili unatakiwa ujipange and then ukiombwa facts n evidence unatuletea sio mnakimbia kimbia tu.
- Weka statistics za Mfalme na gaucho pia...
- Tupia video ya gaucho nami nitatupia ya Mfalme
- Niletee ushahidi unaoonyesha gaucho yupo top 5 ama 10
Nasubiri, sitaki uniletee stori mkuu.
We mtoto upumbav utaacha lini, tabia za kike kenge kweli we
Kwani kama ww unampenda mess au ronaldo unataka na mm niwapende kama ww...ww baki na iman yako na mimi nibaki na iman yangu...kama burudani ni stastis basi nenda kazichukue kwa hao akina mess.........Yani unavyomwelezea gaucho utafikiri sisi wengine hatukumuona. Toa hoja yenye kuweleweka kaka. Hata statistics basii, hapo kwenye blue ndio kamsemo wa mashabiki wa gaucho na ukifatilia vizuri utagundua wengi hawajui mpira bali ni ushabiki usiokuwa na maana,hata ukimuomba evidence anatulia alafu atafuatia mwingine na hako kamsemo ulokatumia kumsifu.
Huyo mtoto wa kuitwa alosto Ni mpumbav sanaAcha matusi kaka. Mkishindwa hoja mnaanza kutukana.
Achana nae mkuuu.....kaenda kubali id anadhani anashindani tuzo ya mabishano..sisi tunazungumza vitu alivyokuwa anavifanya dinyo uwanjani yeye anaanza kuleta habari za takwimu....Usije hapa jukwaani uonekane na wewe unajua mpira, binafsi siwezi kubishana na mtu mwenye akili ya kukariri, takwimu unazotaka wewe ni za magoli na ndipo napoona nazungumza na kilaza asiejua soccer, unaijua tofauti ya nafasi aliokua anacheza gaucho na messi? Kila mmoja ana majukumu yake kwahivyo usitegemee takwimu zao kufanana, kasome majukumu ya messi na gaucho ndo urudi hapa , ndo nyinyi mtaanza kubishana nani zaidi kati ya hazard na ngolo kante.
Ukija usije kama kondoo
Ni mchezaji bora kwa mwaka 2005, is the most technical player of all time. Yajue mambo 10 yaliyokupita enzi zake
1. Alikua akimpitia/drive Messi kila siku kwenda nae mazoezini enzi akiwa Barca na ndi mpaka keo messi anatamani kua kama Gaucho kwa kua ameona vingi zaidi ya mim na wew
2. Amekusanya jezi nyingi kwa mtindo wa kubadilishana baada ya mechi
3. Akiwa na miaka 7 ndipo alipewa jona la ronaldinho
4. Malengo yake kwa sasa ni kuanza siasa, cjui labda anamekua boosted na Joji weah
5. Mara zote awapo Barcelona kabla ya match aligongonga sana papuchi, anasema alikua anajiskia vzr kesgo yake uwanjan
6. Ilikua asain man u kabla ya barcelona
7. Anataka kufanya Duo with David Gueta
8. Ameshashiriki kweny segment ktk moja ya muvi za kifaransa, pia kwa sasa anahulka ya kuact muvi
9. Alishawahi kua msemaji wa UN 2016, "Michezo kwa maendeleo na amani"
10. ....
Gaucho ni habari nyingine
Kwa akili yako tu ya kuzaliwa kaka unataka kumcompare gaucho na huyu KING MESSI Mwargentina!!!! Rudi utafakari upya kaka. While Gaucho hajafikia hata robo ya king Messi. U know that mjomba mtu unapojadili unatakiwa ujipange and then ukiombwa facts n evidence unatuletea sio mnakimbia kimbia tu.
- Weka statistics za Mfalme na gaucho pia...
- Tupia video ya gaucho nami nitatupia ya Mfalme
- Niletee ushahidi unaoonyesha gaucho yupo top 5 ama 10
Nasubiri, sitaki uniletee stori mkuu.
Sasa messi akistaafu gaucho si atakuwa takatakaKwani messi keshaweka daluga juu kama vinjino, aweke daluga ndio tufanye comparison, lakini mnabishana na mtu aliyestaafu na mwingine bado yumo kwenye game, hakutakuwa na uwiano
Na wewe acha mihemko ya kishoga kwani philip Lahm hana kombe la dunia?Neymar amechukua World Cup? Na wewe acha mihemko ya kishoga.
Alishawahi kukugonga mkuu kabla ya mechi?Ni mchezaji bora kwa mwaka 2005, is the most technical player of all time. Yajue mambo 10 yaliyokupita enzi zake
1. Alikua akimpitia/drive Messi kila siku kwenda nae mazoezini enzi akiwa Barca na ndi mpaka keo messi anatamani kua kama Gaucho kwa kua ameona vingi zaidi ya mim na wew
2. Amekusanya jezi nyingi kwa mtindo wa kubadilishana baada ya mechi
3. Akiwa na miaka 7 ndipo alipewa jona la ronaldinho
4. Malengo yake kwa sasa ni kuanza siasa, cjui labda anamekua boosted na Joji weah
5. Mara zote awapo Barcelona kabla ya match aligongonga sana papuchi, anasema alikua anajiskia vzr kesgo yake uwanjan
6. Ilikua asain man u kabla ya barcelona
7. Anataka kufanya Duo with David Gueta
8. Ameshashiriki kweny segment ktk moja ya muvi za kifaransa, pia kwa sasa anahulka ya kuact muvi
9. Alishawahi kua msemaji wa UN 2016, "Michezo kwa maendeleo na amani"
10. ....
Mkuu mashabiki wa gaucho ukiwaambia stastics watakutukana mno mno wanataka wahurumiwe tuAkileta nitag. najuwa hataleta mark my words mkuu
PSG GAUCHO GOALS 25 GAMES 75Anza wewe
Toka lini mchezaji akapimwa kwa kuweka mpira mapajani au?Aiseee...nakumbuka yeye ndo aliyenifanya niipende barc.sikuwa mshabiki wa barca ila yeye alinifanya niipende barca..nakumbuka jamaa alikuwa akiweka mpira kwenye paja kuupata ni ishu.anakutunishia msuli na hiwezi kuupata hata kwa dawa..ukimchezea rafu yeye hajali anacheka tu..dinyo ni habari nyingine acheni tu hawa akina mess na ronaldo wafunge magoli ila yeye atabaki kuwa hero