Ni mchezaji bora kwa mwaka 2005, is the most technical player of all time. Yajue mambo 10 yaliyokupita enzi zake
1. Alikua akimpitia/drive Messi kila siku kwenda nae mazoezini enzi akiwa Barca na ndi mpaka keo messi anatamani kua kama Gaucho kwa kua ameona vingi zaidi ya mim na wew
2. Amekusanya jezi nyingi kwa mtindo wa kubadilishana baada ya mechi
3. Akiwa na miaka 7 ndipo alipewa jona la ronaldinho
4. Malengo yake kwa sasa ni kuanza siasa, cjui labda anamekua boosted na Joji weah
5. Mara zote awapo Barcelona kabla ya match aligongonga sana papuchi, anasema alikua anajiskia vzr kesgo yake uwanjan
6. Ilikua asain man u kabla ya barcelona
7. Anataka kufanya Duo with David Gueta
8. Ameshashiriki kweny segment ktk moja ya muvi za kifaransa, pia kwa sasa anahulka ya kuact muvi
9. Alishawahi kua msemaji wa UN 2016, "Michezo kwa maendeleo na amani"
10. ....