ukijibu hivyo uwe unajua maana ya ubatizo. Unajua maji kidogo yalianzaje?Elimu ya talimungu ni muhimu sana, usipoelewa utataka maji mengi, utataka ukanyage mafuta, utataka uvae chupi za upako n.k.
Maji kidogo au mengi vyote ni ubatizo.
Hiyo kidogo na mengi unaipimaje? What's your reference?ukijibu hivyo uwe unajua maana ya ubatizo. Unajua maji kidogo yalianzaje?
KuzamishaUnaelewa maana ya kubatizwa?(BAPTISM?)
Wewe kalili kutumbukizwa kwenye matope ndio ubatizoHakuna ubatizo hapo acha kutudanganya
Ubatizo wa biblia ni ubatizo wa maji mengi siyo wa jagi na beseni
Baadae utauliza na binadamu alianzaje. Elewa hivyo maji yawe mengi au kidogo ni ubatizo. Hayo mengine yakoukijibu hivyo uwe unajua maana ya ubatizo. Unajua maji kidogo yalianzaje?
Ubatizo ni wa maji mengi tu huu ndiyo ubatizo wa biblia huo wa beseni na jagi tupe reference yake toka kwenye biblia kama upoWewe kalili kutumbukizwa kwenye matope ndio ubatizo
Acha uongo hakuna ubatizo huo wa RonaldoBaadae utauliza na binadamu alianzaje. Elewa hivyo maji yawe mengi au kidogo ni ubatizo. Hayo mengine yako
fuateni ubatizo wa maji mengi, mtu azamishwe kama Yesu alivyobatizwa katika mto yordani. Enyi wakatoliki na walutheri ni nani aliyewaloga mbatize kwa maji kidogo?Baadae utauliza na binadamu alianzaje. Elewa hivyo maji yawe mengi au kidogo ni ubatizo. Hayo mengine yako
Cc FaizaFoxyMshambuliaji mashuhuri duniani Ronaldo de Lima amebatizwa katika Kanisa la Sao Jose do Jardim Europa Parish huko Sao Paulo.
Ronaldo de Lima ame post picha kwenye Instagram page yake na kusema "Imani ya Kikristo imekuwa msingi muhimu wa maisha yangu toka utoto ingawa nilikuwa sijabatizwa. Kwa sakramenti hii najisikia kuzaliwa upya kama mtoto wa Mungu kwa namna mpya, kihisia na kwa undani kabisa."
Hongera kwake kuamua kujikabidhi kwa Kristo.
Mbona wewe hubebi msalaba kama yesu alivyobeba iwe kama sehemu ya kutubu kwako. Usiwe kama kasuku. Soma elimu ya talimungu (Theolojia) itakusaidia sana kuona. Pia biblia ina vielelezo vingi sana mitume hawakubatiza kwa maji mengifuateni ubatizo wa maji mengi, mtu azamishwe kama Yesu alivyobatizwa katika mto yordani. Enyi wakatoliki na walutheri ni nani aliyewaloga mbatize kwa maji kidogo?
Qur an ni complete ukiijua ni sawa na vitabu vyote ,haijawahi kubadilika kama nyie wajuu wa pauloAmejiunga DINI ya MAJINI.
DINI isiyojua vilipo VITABU vya Mungu.
Torati, zaburi, na INJILI.
Ukiwauliza WAISLAMU vipo wapi HAWAJUI.
ACHA SHETANI aendelee kujaza kundi lake
Nikupe number za Ronaldo umu ulize?Ubatizo ni wa maji mengi tu huu ndiyo ubatizo wa biblia huo wa beseni na jagi tupe reference yake toka kwenye biblia kama upo
Porojo watu wanazidi kuingia kwa makundi.SHETANI ALISLIMU NDANI YA MSIKITI
Quran 51:56
Allah anasema
Nami sikuwaumba Majini na WATU Ili waniabudu Mimi.
Quran 72:2.
Sema.
Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi Moja la majinililisililiza na likazema
Hakika sisi tumeisikia Quran ya Ajabu.
Alikua mhuni tu kama CCMAlikuwa dini gani awali?