Ronaldo de Lima abatizwa na kuwa Mkristo!

Ronaldo de Lima abatizwa na kuwa Mkristo!

Elimu ya talimungu ni muhimu sana, usipoelewa utataka maji mengi, utataka ukanyage mafuta, utataka uvae chupi za upako n.k.

Maji kidogo au mengi vyote ni ubatizo.
ukijibu hivyo uwe unajua maana ya ubatizo. Unajua maji kidogo yalianzaje?
 
Screenshot_20230914-182049.png
 
Ingekuwa kajiunga na dini Fulani yenye asili ya uarabuni ambayo bado Ipo kwenye marketing, inashawashi watu maarufu kwa hela nyingi kujiunganayo, inaandaa kombe la dunia na baadaye kukitumia kama sehemu ya propaganda za kueneza dini Yao kwa kuwaita wahubiri uchwara akina Zakir, ambayo inatumia mprira wa miguu kueneza propaganda za dini kwa kununua timu kubwa za ulaya na Sasa wananunua wachezaji maarufu duniani kwa hela nyingi na kuwapeleka ligi za kwao kwa lengo hilo hilo la ku market dini na Mila zao, basi ingikuwa wao Kelele zingepigwa Kila sehemu duniani
 
Mshambuliaji mashuhuri duniani Ronaldo de Lima amebatizwa katika Kanisa la Sao Jose do Jardim Europa Parish huko Sao Paulo.

Ronaldo de Lima ame post picha kwenye Instagram page yake na kusema "Imani ya Kikristo imekuwa msingi muhimu wa maisha yangu toka utoto ingawa nilikuwa sijabatizwa. Kwa sakramenti hii najisikia kuzaliwa upya kama mtoto wa Mungu kwa namna mpya, kihisia na kwa undani kabisa."

Hongera kwake kuamua kujikabidhi kwa Kristo.

Cc FaizaFoxy
 

Amejiunga DINI ya MAJINI.

DINI isiyojua vilipo VITABU vya Mungu.
Torati, zaburi, na INJILI.
Ukiwauliza WAISLAMU vipo wapi HAWAJUI.


ACHA SHETANI aendelee kujaza kundi lake la WAJINGA na WAPUMBAFU.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
 
fuateni ubatizo wa maji mengi, mtu azamishwe kama Yesu alivyobatizwa katika mto yordani. Enyi wakatoliki na walutheri ni nani aliyewaloga mbatize kwa maji kidogo?
Mbona wewe hubebi msalaba kama yesu alivyobeba iwe kama sehemu ya kutubu kwako. Usiwe kama kasuku. Soma elimu ya talimungu (Theolojia) itakusaidia sana kuona. Pia biblia ina vielelezo vingi sana mitume hawakubatiza kwa maji mengi
. Usiposoma vema bibilia na theolojia utapata shida sana.

Unajua kwa nini Yesu alipenda kufundisha kwa mafumbo(parables).

"Hakika msipo .... na kuzaliwa upya..." alimaanisha tuingie tena kwenye tumbo za mama zetu. Tafakati sana
 
SHETANI ALISLIMU NDANI YA MSIKITI

Quran 51:56

Allah anasema

Nami sikuwaumba Majini na WATU Ili waniabudu Mimi.

Quran 72:2.

Sema.
Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi Moja la majinililisililiza na likazema
Hakika sisi tumeisikia Quran ya Ajabu.
Porojo watu wanazidi kuingia kwa makundi.


Kila siku naweza kukuletea wapya hapa bongo tu wapo kibao ..


Porojo kibao naona umeumia tambua upo njia ya freemason jisalimishe na uingie kweny uislamu.
 
Ingekuwa kajiunga na dini Fulani yenye asili ya uarabuni ambayo bado Ipo kwenye marketing, inashawashi watu maarufu kwa hela nyingi kujiunganayo, inaandaa kombe la dunia na baadaye kukitumia kama sehemu ya propaganda za kueneza dini Yao kwa kuwaita wahubiri uchwara akina Zakir, ambayo inatumia mprira wa miguu kueneza propaganda za dini kwa kununua timu kubwa za ulaya na Sasa wananunua wachezaji maarufu duniani kwa hela nyingi na kuwapeleka ligi za kwao kwa lengo hilo hilo la ku market dini na Mila zao, basi ingikuwa wao Kelele zingepigwa Kila sehemu duniani
 
SHETANI ALISLIMU NDANI YA MSIKITI

Quran 51:56

Allah anasema

Nami sikuwaumba Majini na WATU Ili waniabudu Mimi.

Quran 72:2.

Sema.
Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi Moja la majinililisililiza na likazema
Hakika sisi tumeisikia Quran ya Ajabu
 
Back
Top Bottom