MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.
KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????
KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO
hata boza linafaani penye maji mengi
MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.
KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????
KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO
Mhimu ktk ubatizo ni maji klmengi, yanayoweza kuzamisha.hata boza linafaa
imani haihusiki bali maji mengiMhimu ktk ubatizo ni maji klmengi, yanayoweza kuzamisha.
labda liwe wazi kwa juuhata boza linafaa
msingi wa maji mengi ni nini kwanini isiwe maji tuhlabda liwe wazi kwa juu
Ili mtu abatizwe kuna hatua lazima azipitie 1-lazima asikie neno la MUNGU 2- lazima aamini (Imani) 3-lazima atubu (kujutia) 4 lazima akiri (akubali) 5 lazima abatizwe kwa kuzikwa (maji mengi) ndipo aitwe mkristo,imani haihusiki bali maji mengi
Masalia hamtaweza hata siku moja kuwasahihisha Wakatoliki kwanza ndiyo hao hao waandishi wa Bible kama wamekusudia watakaosoma hiko kitabu waende motoni na nyie mpo hamna kitabu chenu kinachowaongoza.Ili mtu abatizwe kuna hatua lazima azipitie 1-lazima asikie neno la MUNGU 2- lazima aamini (Imani) 3-lazima atubu (kujutia) 4 lazima akiri (akubali) 5 lazima abatizwe kwa kuzikwa (maji mengi) ndipo aitwe mkristo,
kasome biblia katika ukamilifu wake ujue msingi wakemsingi wa maji mengi ni nini kwanini isiwe maji tuh
ulishawahi kusikia msemo wacha wafu wawazike wafu wenzaoIli mtu abatizwe kuna hatua lazima azipitie 1-lazima asikie neno la MUNGU 2- lazima aamini (Imani) 3-lazima atubu (kujutia) 4 lazima akiri (akubali) 5 lazima abatizwe kwa kuzikwa (maji mengi) ndipo aitwe mkristo,
wewe uliyesoma nikuite hivyo uliellewa ninikasome biblia katika ukamilifu wake ujue msingi wake
Mtizamo, kwani ukizama dimbwini ndo kubatizwa kwa wako mtizamo?Hapo habatizwi bali anaoshwa kichwa!
nilielewa kama ilivyoandikwa na kutenda ipasavyowewe uliyesoma nikuite hivyo uliellewa nini
AwapiDe lima, namba 9 bora toka kuumbwa kwa dunia.
Kwa imani yetu Wakatoliki, mtu anakuwa bado hajawa Mkristo kama bado hajapata sakramenti ya ubatizo. Ni sawa na ninyi mnavyoamini kuwa mtu anakuwa bado hajaokoka kama hajaongozwa sala ya kumpokea Yesu. Ndio maana nikasema ni vyema kila mmoja abaki na ikibidi atangaze imani yake kuliko kila mara kuchungulia kwa jirani wanafanyaje au wanafanya nini ili apate neno la kuhubiriBasi ingeandikwa Ronaldo abatizwa ubatizo wa katoliki na kuwa mkatoliki maana title ndiyo imenifanya niseme huo siyo ubatizo wa biblia maana imeandikwa amebatizwa na kuwa mkristo hakuna mkristo anayebatizwa ubatizo huo
Hapana, alikua hajabstizwa tu, IMANI YA KIKRISTO IMEKUA MDINGI WA MAISHA YANGU TANGU UTOTO. Hayo maneno yanamtenganisha na Uislamu, labda tujuzwe mtu ambae hajabatizwa, huko ksnisani anakua nani.Kumbe alikuwa muislamu
kidogo kulinganisha na nini? Maji ni ishara, ubatizo upo rohoni (kwa moto na Roho Mtakatifu). Sisi mafundisho yetu yanaangalia context ya maandiko, sio word to word, ni vizuri ukajua maudhui. Hiyo ni hasara ya kila mtu kujiona anajua maandiko badala ya kwenda shule.Enyi wakatoliki na walutheri ni nani aliyewaloga mbatize kwa maji kidogo?