Ronaldo de Lima abatizwa na kuwa Mkristo!

Ronaldo de Lima abatizwa na kuwa Mkristo!

MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.

KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????

KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO

We jamaa mekuuliza hao majini yamejiumba yenyewe?
Quran unapoambiwa haijaacha kitu maana yake ndio hio kila kitu hapa duniani kimeandikwa kwenye hicho kitabu na toka kiandikwe akijawai badilishwa
Hio bible inazungumzia maisha dunia ipi ambayo haina majini?
 
MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.

KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????

KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO

Alaf mada ni huo ubatizo wa maji kidogo ungetoa mistari ya kitabu chenu [emoji74][emoji74]
Sio kuhamisha mada
 
Ili mtu abatizwe kuna hatua lazima azipitie 1-lazima asikie neno la MUNGU 2- lazima aamini (Imani) 3-lazima atubu (kujutia) 4 lazima akiri (akubali) 5 lazima abatizwe kwa kuzikwa (maji mengi) ndipo aitwe mkristo,
Masalia hamtaweza hata siku moja kuwasahihisha Wakatoliki kwanza ndiyo hao hao waandishi wa Bible kama wamekusudia watakaosoma hiko kitabu waende motoni na nyie mpo hamna kitabu chenu kinachowaongoza.

Ukiambiwa hapa Kanisa Katoliki linaruhusu ubatizo wa dharura kwa aliye ktk hatari ya kifo unaofanywa na mtu yeyote hata asiyekuwa Padre muhimu afuate tu taratibu za ubatizo bila hata hayo maji utakataa kwa sababu umekariri,maandiko matakatifu yanasema “atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto” mbona hamchomwi moto ili mseme ubatizo umekamilika?
 
Ili mtu abatizwe kuna hatua lazima azipitie 1-lazima asikie neno la MUNGU 2- lazima aamini (Imani) 3-lazima atubu (kujutia) 4 lazima akiri (akubali) 5 lazima abatizwe kwa kuzikwa (maji mengi) ndipo aitwe mkristo,
ulishawahi kusikia msemo wacha wafu wawazike wafu wenzao
 
Basi ingeandikwa Ronaldo abatizwa ubatizo wa katoliki na kuwa mkatoliki maana title ndiyo imenifanya niseme huo siyo ubatizo wa biblia maana imeandikwa amebatizwa na kuwa mkristo hakuna mkristo anayebatizwa ubatizo huo
Kwa imani yetu Wakatoliki, mtu anakuwa bado hajawa Mkristo kama bado hajapata sakramenti ya ubatizo. Ni sawa na ninyi mnavyoamini kuwa mtu anakuwa bado hajaokoka kama hajaongozwa sala ya kumpokea Yesu. Ndio maana nikasema ni vyema kila mmoja abaki na ikibidi atangaze imani yake kuliko kila mara kuchungulia kwa jirani wanafanyaje au wanafanya nini ili apate neno la kuhubiri
 
Enyi wakatoliki na walutheri ni nani aliyewaloga mbatize kwa maji kidogo?
kidogo kulinganisha na nini? Maji ni ishara, ubatizo upo rohoni (kwa moto na Roho Mtakatifu). Sisi mafundisho yetu yanaangalia context ya maandiko, sio word to word, ni vizuri ukajua maudhui. Hiyo ni hasara ya kila mtu kujiona anajua maandiko badala ya kwenda shule.

Sisi hata ikitokea mtu asiyewahi kubatizwa akatamka kuwa anaomba afanyiwe ubatizo, na bahati mbaya katika maandalizi ya ubatizo ikatokea amefariki, basi huyo anachukuliwa amepata ubatizo (kwa nia yake). Hapo hata maji ya mto au bakuli hayajatumika, ila anazikwa kama Mkatoliki aliyebatizwa
 
Back
Top Bottom