zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.
KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????
KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO
We jamaa mekuuliza hao majini yamejiumba yenyewe?
Quran unapoambiwa haijaacha kitu maana yake ndio hio kila kitu hapa duniani kimeandikwa kwenye hicho kitabu na toka kiandikwe akijawai badilishwa
Hio bible inazungumzia maisha dunia ipi ambayo haina majini?