BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Di lima anazeheka na akili zinamruka vibaya sana. Zidane nitaendelea kumheshimu sana. Ni mtu mstaarabu asiependa kuropoka hovyo,, na hana mambo ya kike kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww labda haujamuelewa de lima , de lima messi na ronaldo wanachua uchezaji bora mara kwa mara kwa wachezaji wanaoshindana nao ni dhaifualichokisema Rinaldo kinaukweli kiasi lakini niktika upande wa ushindani wakizazi chao...nasio katk ubora alionao messi ama cristiano ronaldo na wao...ktk hao aliowataja watu wanaopaswa kuingizwa ktk compatation ya baina ya messi na cristiano kwa mbali ni ronaldo mwenyew na zidane bhasiiii na bado ubora wao haufikii hata kwa messi..mtu aliyeweza kupiga goal 91 ktka msimu mmoja mtu aliyeweza kuchkua tuzo NNE bora ya fifa katika miaka mi4 mfululizo ..mtu ambaye ameivusha agentina nakuipeleka world cup tena kwa nguvu zake nzito kiasi Kile mtu ambaye amekuwa anafnya vyema kila baada ya miaka 2 ..waweza kumfananisha nahao kina delima..delima alikuwa nimchezaji mzuri mnoo lakini alizungukwa na wachezaji wazuri pia ktk team yao ya taifa...watu kama gaucho rivaldo na kaka huwezi acha kuwataja mbele ya mafanikio ya delima katk team ya taifa ..ukimtazama messi kuanzi upigaji chenga ..kasi ..uwezo wakutoa Pasi za mwisho mpaka uwezo wakuzifumania nyavu .hakuna wakumuweka level moja nae hapa....kiasi anajitahidi cristiano nanikatk upande wa magoli tu pekee ...lakini sio ukokotaji mpira wala upigaji chenga wla pasi za mwisho na jinsi ambavyo anaichezesha team
Mara kibao tumekuwa tunaona messi akiwa hayupo na barca NAyO haina pumzi..itazame barca ilivyoondokewa na neymar ..ilivyoondokewa na gaucho ..hakuna aliyetegemea kama itakuwa katk level hizi ..yote hiyo nikwaajili ya uwezo wa messi
zidane alikuwa anacontrol mnoo anapiga chenga pia na kuichezesha team pia...but hakuwa mpigaji mzuri wa mipira iliyokufa kama messi hakuwa mwenye uwezo mkubwa wakupiga chenga watu wanne mpka wa tano kama messi ..hakuwa mfungaji bora hata siku moja ..hakuwahi kuwa nakasi kama messi..hakuwahi na pasi za mwisho nyingi kama messi...messi nimchezaji aliyetemia na uwezo wake dhidi hayo wachezaji waliotajwa hapo nivitu vinavyotengana kama maji na mafuta ..messi kawaacha mbali mnoo
Marseille umewasahau basile bolli , jean pierre pappin , barca / madrid michael laudrap ( mchezaji bora kabisa) na ndugu yake brian , peter scheimel naye ukumtaja , elbe sand , any way mkali vichwa nimemuona hapo ( bierhoff) , summer libero borahamna lolote kizazi Cha R9. Kizazi kilichokuwa Na challenge kubwa Ni 1992 -1996 hata ukifuatilia UEFA championship league kufunga goli hata moja enzi hizo ilikuwa ngumu. AC Milan Na Ajax Amsterdam, Barcelona Na marceile ya ufaransa.
AC Milan
1. Dejan Cecicevic mserbia
2 . Paulo maldin
3. Franco Baresi
4. Rais George Weah
5. Albertini
6. Boban, ambaye haruna Moshi kaiga Hilo jina kutoka kwake alikuwa mcroatia
Juventus
1. Ravaneli fabrazio
2. Roberto Baggio
3. Gianluca Viali
Beryan Munich
Lother Matthias
2. Oliver bierhoff
3. Jurgen klinsman
4. Rudi voller
Borrusia Dortmund
Chapuisat
Mathias summer
Victor ikpeba mnigria
Marseille
1. Abedi pele
Real Madrid
Ivan Zamorano mchile huyu
Barcelona
Romario
Ronald koeman
Hristo stoichkov
Sasa wanaume Yani enz hizo tishio Na Ni nyakati hizo R de lima alikuwa kinda uholanzi psv pamoja Na gaucho. AJAX AMSTERDAM Dah Ajax ilikuwa tishio chini ya kocha Luis Vaan Gal
Naanza Na waafrika watatu kutoka Nigeria waliipaisha Ajax
Sunday Oliseh
Finidi George
Nwanko Kanu
Wengine
.Frank rijkaard
.Frank de Boer
.Ronald de boer
Patrick cluivert alikuwa 19 yes alipofunga goli la pekee UEFA chmp league 1994 dhidi ya Ac M
ilan
. Clarence seedorf
.edagR davis
. Reinziger
Jari litmanen
. Edwin van der saar
Jezi Yao ilidhaminiwa Na ABN amro bankView attachment 668693
Hiki ndio kizazi Cha mpira wenye changamoto
alichokisema Rinaldo kinaukweli kiasi lakini niktika upande wa ushindani wakizazi chao...nasio katk ubora alionao messi ama cristiano ronaldo na wao...ktk hao aliowataja watu wanaopaswa kuingizwa ktk compatation ya baina ya messi na cristiano kwa mbali ni ronaldo mwenyew na zidane bhasiiii na bado ubora wao haufikii hata kwa messi..mtu aliyeweza kupiga goal 91 ktka msimu mmoja mtu aliyeweza kuchkua tuzo NNE bora ya fifa katika miaka mi4 mfululizo ..mtu ambaye ameivusha agentina nakuipeleka world cup tena kwa nguvu zake nzito kiasi Kile mtu ambaye amekuwa anafnya vyema kila baada ya miaka 2 ..waweza kumfananisha nahao kina delima..delima alikuwa nimchezaji mzuri mnoo lakini alizungukwa na wachezaji wazuri pia ktk team yao ya taifa...watu kama gaucho rivaldo na kaka huwezi acha kuwataja mbele ya mafanikio ya delima katk team ya taifa ..ukimtazama messi kuanzi upigaji chenga ..kasi ..uwezo wakutoa Pasi za mwisho mpaka uwezo wakuzifumania nyavu .hakuna wakumuweka level moja nae hapa....kiasi anajitahidi cristiano nanikatk upande wa magoli tu pekee ...lakini sio ukokotaji mpira wala upigaji chenga wla pasi za mwisho na jinsi ambavyo anaichezesha team
Mara kibao tumekuwa tunaona messi akiwa hayupo na barca NAyO haina pumzi..itazame barca ilivyoondokewa na neymar ..ilivyoondokewa na gaucho ..hakuna aliyetegemea kama itakuwa katk level hizi ..yote hiyo nikwaajili ya uwezo wa messi
zidane alikuwa anacontrol mnoo anapiga chenga pia na kuichezesha team pia...but hakuwa mpigaji mzuri wa mipira iliyokufa kama messi hakuwa mwenye uwezo mkubwa wakupiga chenga watu wanne mpka wa tano kama messi ..hakuwa mfungaji bora hata siku moja ..hakuwahi kuwa nakasi kama messi..hakuwahi na pasi za mwisho nyingi kama messi...messi nimchezaji aliyetemia na uwezo wake dhidi hayo wachezaji waliotajwa hapo nivitu vinavyotengana kama maji na mafuta ..messi kawaacha mbali mnoo
Zidane alikuwa anacheza namba ngapi Na Messi anacheza namba ngapi? Unajaribu kulinganisha shule Na mfereji halafu utake majibu sawazidane alikuwa anacontrol mnoo anapiga chenga pia na kuichezesha team pia...but hakuwa mpigaji mzuri wa mipira iliyokufa kama messi hakuwa mwenye uwezo mkubwa wakupiga chenga watu wanne mpka wa tano kama messi ..hakuwa mfungaji bora hata siku moja ..hakuwahi kuwa nakasi kama messi..hakuwahi na pasi za mwisho nyingi kama messi...messi nimchezaji aliyetemia na uwezo wake dhidi hayo wachezaji waliotajwa hapo nivitu vinavyotengana kama maji na mafuta ..messi kawaacha mbali mnoo
Kwa uwezo gani....Japo huwa nashangaa kwa nini Iniesta hajatwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia
Kweli lkn mi sijaona uwezo wa R9 kujiweka na level za R7 na messi, kwangu R9 level ni Henry Kane tu na pengn Kane ni bora zaid yake
Povu ruksa
Kwa uwezo gani....
sasa hilo swali muulize mtoa post mkuuZidane alikuwa anacheza namba ngapi Na Messi anacheza namba ngapi? Unajaribu kulinganisha shule Na mfereji halafu utake majibu sawa
Zinedine Yazid ZidaneO.L.H. , A.O.M.N. (French pronunciation: [zinedin zidan] , born 23 June 1972), nicknamed " Zizou ", is a French retired professional footballer and current manager ofbut zidane na messi walikuwa wanacheza namba moja wote ...zidane 10 na messi 10
Youtube yann mi nimemshuhudia live, hana jipya, ni type tu ya henry kaneHujui unachokiongea. De lima alikuwa mtu mwengine aisee. Ingia youtube tafuta mambo yake ya kuanzia 1996 utaelewa nini nasema
sawaZinedine Yazid ZidaneO.L.H. , A.O.M.N. (French pronunciation: [zinedin zidan] , born 23 June 1972), nicknamed " Zizou ", is a French retired professional footballer and current manager of
Real Madrid . He played as an attacking midfielder for the France national team , Cannes ,
Bordeaux , Juventus and Real Madrid.
Zizou alikuwa anacheza namba nane
Hapana lakini huwez kumfananisha na hawa magiant wawili japo uwezo anao mzuri2Hivi ule uwezo aliouonesha kuanzia 2012 mpaka 2014 unadhani ulikuwa ni uwezo wa kawaida.?
We jamaa una uwezo mkubwa wa kufikiri japo tumebaki wachacheWewe ni shabiki wa messi na sio mpira.. umeanza kushabikia mpira enzi messi akiwa kwenye ubora wake lakin bahati mbaya hukushabikia enzi wengine wakiwa kwenye ubora wao
Tulia basi ueleweshwe. Nguli mwenyewe kakwambia kile kizazi ni balaa na bahati mbaya umemzungumzia De Lima akiwa timu yake ya Taifa. Muulize Messi mwenyewe analijua balaa la mfumaniaji magoli huyo alipokuwa Barca kabla ya kwenda Seria A. Kule walichuana sana na chuma ya Italy ikienda kwa jina la Del Piero. Kilikuwa kipindi cha aina yake kusema kweli.alichokisema Rinaldo kinaukweli kiasi lakini niktika upande wa ushindani wakizazi chao...nasio katk ubora alionao messi ama cristiano ronaldo na wao...ktk hao aliowataja watu wanaopaswa kuingizwa ktk compatation ya baina ya messi na cristiano kwa mbali ni ronaldo mwenyew na zidane bhasiiii na bado ubora wao haufikii hata kwa messi..mtu aliyeweza kupiga goal 91 ktka msimu mmoja mtu aliyeweza kuchkua tuzo NNE bora ya fifa katika miaka mi4 mfululizo ..mtu ambaye ameivusha agentina nakuipeleka world cup tena kwa nguvu zake nzito kiasi Kile mtu ambaye amekuwa anafnya vyema kila baada ya miaka 2 ..waweza kumfananisha nahao kina delima..delima alikuwa nimchezaji mzuri mnoo lakini alizungukwa na wachezaji wazuri pia ktk team yao ya taifa...watu kama gaucho rivaldo na kaka huwezi acha kuwataja mbele ya mafanikio ya delima katk team ya taifa ..ukimtazama messi kuanzi upigaji chenga ..kasi ..uwezo wakutoa Pasi za mwisho mpaka uwezo wakuzifumania nyavu .hakuna wakumuweka level moja nae hapa....kiasi anajitahidi cristiano nanikatk upande wa magoli tu pekee ...lakini sio ukokotaji mpira wala upigaji chenga wla pasi za mwisho na jinsi ambavyo anaichezesha team
Mara kibao tumekuwa tunaona messi akiwa hayupo na barca NAyO haina pumzi..itazame barca ilivyoondokewa na neymar ..ilivyoondokewa na gaucho ..hakuna aliyetegemea kama itakuwa katk level hizi ..yote hiyo nikwaajili ya uwezo wa messi
zidane alikuwa anacontrol mnoo anapiga chenga pia na kuichezesha team pia...but hakuwa mpigaji mzuri wa mipira iliyokufa kama messi hakuwa mwenye uwezo mkubwa wakupiga chenga watu wanne mpka wa tano kama messi ..hakuwa mfungaji bora hata siku moja ..hakuwahi kuwa nakasi kama messi..hakuwahi na pasi za mwisho nyingi kama messi...messi nimchezaji aliyetemia na uwezo wake dhidi hayo wachezaji waliotajwa hapo nivitu vinavyotengana kama maji na mafuta ..messi kawaacha mbali mnoo
Kama ni hivi usingemuacha GianFranco Zora na Faustino Aspilla na kuna Msweden mmoja aliitwa Martin Darlin.hamna lolote kizazi Cha R9. Kizazi kilichokuwa Na challenge kubwa Ni 1992 -1996 hata ukifuatilia UEFA championship league kufunga goli hata moja enzi hizo ilikuwa ngumu. AC Milan Na Ajax Amsterdam, Barcelona Na marceile ya ufaransa.
AC Milan
1. Dejan Cecicevic mserbia
2 . Paulo maldin
3. Franco Baresi
4. Rais George Weah
5. Albertini
6. Boban, ambaye haruna Moshi kaiga Hilo jina kutoka kwake alikuwa mcroatia
Juventus
1. Ravaneli fabrazio
2. Roberto Baggio
3. Gianluca Viali
Beryan Munich
Lother Matthias
2. Oliver bierhoff
3. Jurgen klinsman
4. Rudi voller
Borrusia Dortmund
Chapuisat
Mathias summer
Victor ikpeba mnigria
Marseille
1. Abedi pele
Real Madrid
Ivan Zamorano mchile huyu
Barcelona
Romario
Ronald koeman
Hristo stoichkov
Sasa wanaume Yani enz hizo tishio Na Ni nyakati hizo R de lima alikuwa kinda uholanzi psv pamoja Na gaucho. AJAX AMSTERDAM Dah Ajax ilikuwa tishio chini ya kocha Luis Vaan Gal
Naanza Na waafrika watatu kutoka Nigeria waliipaisha Ajax
Sunday Oliseh
Finidi George
Nwanko Kanu
Wengine
.Frank rijkaard
.Frank de Boer
.Ronald de boer
Patrick cluivert alikuwa 19 yes alipofunga goli la pekee UEFA chmp league 1994 dhidi ya Ac M
ilan
. Clarence seedorf
.edagR davis
. Reinziger
Jari litmanen
. Edwin van der saar
Jezi Yao ilidhaminiwa Na ABN amro bankView attachment 668693
Hiki ndio kizazi Cha mpira wenye changamoto
Kuna beki mmoja aliitwa Paul Montero alikuwa Juventus. Center half matata sana. Kipindi hicho kilikuwa kigumu sanaMessi na Chrstiano Ronaldo kwa Ronaldnho Gaucho ni watoto hamna kitu...na kwa Real Ronaldo el The Phenomena (In Mournho voice) ndio usiseme bado wapo mbali sana...Ronaldo De Nazario Lima tena yule wa enzi akiwa Barcelona na Internationalle Milan angekuwepo kizazi hiki angejbnafsia Ballon Dor.. .usifanye judgement kwa magoli ni sawa na kusema Valencia kamfunga Malaga 7 na kulinganisha na Bayern Munich kumfunga Real Madrid 2 apo ukiangalia magoli utaona Valencia ni bora kumbe ni zero...jiulize enzi hzo ngome za mabeki zilkuaje...unajua hzo ndio zlkua enz za viski kina ...Nesta....Puyol...Viera...Tonny Adams...Cafu...Dunga...Kufor...Makipa wenye mikono 7 kama oliver khan...Toldo...Dida n.k...enz za viungo matata kina Edaga Davis..Seedoff...Okocha..etc si sasa kina valencia...anderson ..etc washambuliaji matata Kna Kiluvert..Kanu...Trezeguit...Thiery Henry...Romario.....Salas...Ivan Zamorano...Andon Zubizareta...Batstuta...Samuel Ettoo Falls...Diouf...Rivaldo..Zidane...Del Piero ..Robertt Bagio n co?..leo wapo kna Rashford..n co watoto mayai alafu et unawaza kumfananisha Ronaldo El Phenomena na kijana aliyejifunza soka kwake Ronaldnho na hawa watoto wakati kina Neymar walkua na kipaji kwa kumuangalia na adi leo wakrud nyumban na Kina Jesus ...Coutnho n co lazma wamtembelee na kzazi cha watoto mayai Rashford?I won.. Sterling..Benzema..alafu useme messi na Ronaldo n co?think twice lakin kama umezaliwa 1990's ni haki yako ujawahi kuona mpira
Watu wamepiga hizo hat trick, wamepeleka timu zao WC, hukohuko wamepiga magoli na kombe la dunia wamebeba. Hayo makombe mengine wamejizolea kama mchanga na sifa nyingine kedekede. De Lima [emoji91]Ha haa marhaba kamanda,,, nawe shikamoo....hawa watu bwana wana mdhalilisha sana huyu kiumbe kuwahi kutokea ktk uso wa dunia,,, sijui wanajisikiaje kumtaja taja vibaya......chuki ni mbaya mno aise. Yani mtu anakuja kumlinganisha tembo na visisimizi!!! Kisa eti timu kuchukua kombe la dunia!! Wakati ile ni teamwork, tofauti na Messi jeshi la mtu mmoja.....wewe angalia since ametua pale camp nou mataji yote na mazagazaga yote kwa juhudi zake binafsi. Timu kaipeleka urussi kwa juhudi zake binafsi....mtu mmoja anapiga hatrick na kuipeleka urussi timu yake!!!