Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

Ndugu Gaucho ni soccer megician hajawahi tokea mwingine duniani wenda itakayokuja.. Huyu mtu aliufanya mpira kuwa rahisi kuliko kitu kingine chochote.. Ukiwa umechukizwa basi kaa kwenye tv yko angalia clip za ronaldinho stress free..

Ndugu huo ni mtazamo wako binafsi,,,alakini wanaolijua soka zaidi yetu wanatambua uwezo wa messi. Hakuna wa kariba yake
 
Hao wachumba tu kwa KING MESSI. Mtu alienza kufatilia soka kitambo anajua haswaa Messi ndiye baba wa soccer asie na mpinzani.
 
Nikimuangalia King Messi anavyokusanya vijiji navuta hisia kwamba kama ningekuwepo dimbani bora nimpishe na mpira wake apite akutane na golikipa maana ukiwa mbishi utalamba nyasi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€


Mfalme wa soccer ni only one. KING MESSI10s__hao wengine ni wachumba tu.
 
nyoo..kale chipsy snack..mourinho anamuita the real ronaldo sio Christina wako,MTU wa mpira kazi,anaweza kila kitu,chenga,stamina,mbio,ball control,target,ila kwa uzanduuzandu gaucho mtamu..yaan stress lazma ziishe
ivo ulivotaja anamzidi kwa kiuhalisia au maneno ya mdomoni?
 
Mourinho mpaka leo anasema anamfaham Ronaldo mmoja tu - the phenomenon!
 
Dah,[emoji23][emoji23][emoji23] aiseh, hivi hao mabeki wa kawaida ndio kina nani kwa mfano?

Canavaro
Nesta
Staam
Kuffor
Au?????

Hivi kipindi kile na hiki kipi ambacho kina/kilikuwa na mabeki wa kawaida????

Tatizo mnasikiliza sana stori za vijiweni ,
 
Reactions: Pep
Alikaa nje misimu miwili mfululizo alivyovunjwa na Nesta,
Siku anarudi kule World Cup Japan na Korea aliacha historia,
Acheni kufananisha visivyofananishika Ronaldo de Lima Luis Nazario huyu mtu ni balaa, hakuna cha Mbilikimo wala Christina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…