Rosa Ree "Mimi Ndio Rappa bora Africa Nzima Kwa Wanawake na Wanaume"

Rosa Ree "Mimi Ndio Rappa bora Africa Nzima Kwa Wanawake na Wanaume"

Udakuz

Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
85
Reaction score
51
Mkali huyo ambaye jina lake halisi ni Rosary Robert, mzaliwa wa Moshi Tanzania, leo kupitia ukurasa wake wa Instagram awakumbusha wakali wenzie kadhalika na mashabiki kuwa yeye ndio rappa Bora Afrika tena kiujumla.


"I AM THE GODDESSSSS! 👑. Hakuna rapper ambaye ananizidi Africa nzima. Nawapenda, Nlnawaheshimu na nasikiliza miziki yenu. Lakini mimi ndiye Rapper bora Africa! Sio rapper bora wa kike, bali Rapper bora kiujumla!

Kama unabisha bonyeza link kwenye bio yangu upate uhakika! #BLUEPRINT ✊🏾🔥" - ameandika Goddess.

Tazama Hii Michano Hapa Kwenye Hii Nyimbo yake Mpya , Alafu utoe maoni yako kama ni kweli

 
Nisichopenda kutoka kwake ni ile Tabia ya kuachama na kutoa ulimi nje km nyoka anataka kulamba unga.

Huwa ananikera sn

Vinginevyo anajitahidi kuchana,Ila siyo mkali kuliko waanahipo wote Africa,mwepesi sana
 
Ni kawaida kwa watu wa michano kujisifia, sema hilo goma hapo juu limeenda shule. Nimeangalia YouTube watu wa kutoka nchi nyingine za Africa na wa Diaspora ndio wanalipa heshima. Sema wabongo kwa majungu, wanaanza kumuweka kati wamseme vibaya. Sijui tupoje sisi!
 
Mkali huyo ambaye jina lake halisi ni Rosary Robert, mzaliwa wa Moshi Tanzania, leo kupitia ukurasa wake wa Instagram awakumbusha wakali wenzie kadhalika na mashabiki kuwa yeye ndio rappa Bora Afrika tena kiujumla.


"I AM THE GODDESSSSS! 👑. Hakuna rapper ambaye ananizidi Africa nzima. Nawapenda, Nlnawaheshimu na nasikiliza miziki yenu. Lakini mimi ndiye Rapper bora Africa! Sio rapper bora wa kike, bali Rapper bora kiujumla!

Kama unabisha bonyeza link kwenye bio yangu upate uhakika! #BLUEPRINT ✊🏾🔥" - ameandika Goddess.

Tazama Hii Michano Hapa Kwenye Hii Nyimbo yake Mpya , Alafu utoe maoni yako kama ni kweli


Kwakweli sijui ni uzee, mimi sijawahi kuona maajabu yoyote kwake. Labda kwenye up in the air ndo nilimwelewa. Ila nyimbo zilizobaki uwa naona hamna kitu hata mistari yake naonaga ya kawaida tu haina maajabu.
 
Kwakweli sijui ni uzee, mimi sijawahi kuona maajabu yoyote kwake. Labda kwenye up in the air ndo nilimwelewa. Ila nyimbo zilizobaki uwa naona hamna kitu hata mistari yake naonaga ya kawaida tu haina maajabu.
Hamna kitu pale tusizunguke saaaana
 
Back
Top Bottom