Rosa Ree "Mimi Ndio Rappa bora Africa Nzima Kwa Wanawake na Wanaume"

Rosa Ree "Mimi Ndio Rappa bora Africa Nzima Kwa Wanawake na Wanaume"

Hata mimi Frida Amani namwelewa kuliko haka kabinti. Hakajawahi kunishawishi hata mara moja
Kanajifanya kaselaaa,,,wenzie marapper wa kike siku hizi Ni madiva kabisa warembo kishenzi.....Kama Frida...huko mbele Kuna kina The Stallion kina Card ye mwache akalie usela
 
Kanajifanya kaselaaa,,,wenzie marapper wa kike siku hizi Ni madiva kabisa warembo kishenzi.....Kama Frida...huko mbele Kuna kina The Stallion kina Card ye mwache akalie usela
Yah kanajifanya kasela too much. Mimi hata mistari yake naonaga myepesi tu.
Sijui wanaokasifia uwa wanaona nini. Ngoma yake ya up in the air ndo niliielewa.
 
East africa kwa mademu wanaorap rap wote anawakalisha huyu binti
 
Back
Top Bottom