Hata mimi Frida Amani namwelewa kuliko haka kabinti. Hakajawahi kunishawishi hata mara mojaKura yangu inaenda kwa Madam president.....Frida Amani mtoto mzuriiiii
Kanajifanya kaselaaa,,,wenzie marapper wa kike siku hizi Ni madiva kabisa warembo kishenzi.....Kama Frida...huko mbele Kuna kina The Stallion kina Card ye mwache akalie uselaHata mimi Frida Amani namwelewa kuliko haka kabinti. Hakajawahi kunishawishi hata mara moja
Yah kanajifanya kasela too much. Mimi hata mistari yake naonaga myepesi tu.Kanajifanya kaselaaa,,,wenzie marapper wa kike siku hizi Ni madiva kabisa warembo kishenzi.....Kama Frida...huko mbele Kuna kina The Stallion kina Card ye mwache akalie usela
Ameshaolewa mbna.Huyu mwanamke nahitaji konekshen zake nimuweke ndani,nampenda sana
NakaziaFrida wa Amani always...
Daaaaaah,I'm dying of herAmeshaolewa mbna.
Poleeeeeh sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaaaaah,I'm dying of her
She is so adorablePoleeeeeh sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta mwingne tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]She is so adorable
Wa kaliba yake yule sio rahisi sanaTafuta mwingne tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wa kaliba yake yule sio rahisi sana
Sio kila mtu atakukubali ila ukweli ndo huoSio kwel hata kidogo..Hata kwa mbaaali yan
Mpiga tumba wa Twanga PepetaNDIO NANI?
Wa kaliba yake yule sio rahisi sana
Wanakuaga watamu sana wa sampuli ileAkuunganishie kitu chemical sura ngumu kama anakata fundo ya muwa.