Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa amekuwa kama msukule wa Mbowe yaani anamuona Mbowe ni malaika atakuwa amelishwa limbwata na Mbowe kama narration ya huyu dada anaiona ni rubbish lazima ana shida mahali. Mahaba ya kijinga kabisa haya.Do you mean everything spoken here is rubbish to you? Really?
Don't you see that, the rubbish itself is you by not being considerate...?
Sina hakika hata kama akili na ufahamu wako unafikia hata robo ya akili na ufahamu wa dada huyu...!!
I am very sorry if I' ve offended you kwa kauli hii..
Mbowe na chawa wake ndiyo wahuniChadema ni wahuni
Ni Mbowe ndiye anamnyanyasaCHADEMA pumbavu kwa nn wanamnyanyasa Rose hivi
Mkuu inaelekea wanafanya vyote kwa kumpigo!!!Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Ndo kiongozi wa wahuniMbowe na chawa wake ndiyo wahuni
Na CCM wote ni majuhaNdo kiongozi wa wahuni
Kumtoa mbowe ndiko kukitumikia chama chao.Yani kila kitu Mbowe, too much. Kwa hiyo mnagombea kwa ajili ya kumtoa mbowe au kukitumikia chama chenu?
Sura yake ukiiangalia tu inaonyesha Mbowe ni kanjanja.Inaonekana Mbowe ni mtu mbaya sana tumechelewa kumjua
Huyo hatatia mdomo hata kidogo!Aisee Erythrocyte njoo huku kamanda
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e
Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..
Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..
nini kwani hapo ni sawa sio sawa.Duh aiseee
Hakuna uchaguzi free and fair duniani, bali kuna uchaguzi. Hata kuiba kura ni akili kwa hiyo ukiibiwa kura ni kwamba umezidiwa akili.Uchaguzi huu ukiwa free and fair FAM hawez kushinda
Changamoto ni kwamba!Hakuna uchaguzi free and fair duniani, bali kuna uchaguzi. Hata kuiba kura ni akili kwa hiyo ukiibiwa kura ni kwamba umezidiwa akili.
Kesho Mbowe anawapiga asubuhi na mapema kwa 70%
Kwa hiyo unadhani Lissu ndiyo anaweza kuwa Rais wa Tanzania? Familia yake yenyewe hawezi kuongoza sembuse CHADEMA??Changamoto ni kwamba!
Wapo watu wa karibu ya Mbowe ambao wanatoa michoro yote kwa Lissu.
Na wapo watu ambao kwenye system pamoja na CCM hawapendi jinsi nchi inavyoemdeshwa na CCM inavyoendeshwa.
Hawa wanataka upinzani wenye nguvu ili kuiweka CCM sawa na kuondoa machawa.
Hawa nao wanatoa siri ya mipango ya Mbowe ikiwa kama anashirikiana na system.
Hivyo kwa kila hatua anayoipiga Mbowe dhidi ya Uchaguzi hizo habari Lissu anazipata.
Kesho watu watapigana ngumi mapema sana!
Mkuu, wapi nimesema Lissu anafaa kuwa rais wa Tanzania? Mbona unanipeleka ambako sipo?Kwa hiyo unadhani Lissu ndiyo anaweza kuwa Rais wa Tanzania? Familia yake yenyewe hawezi kuongoza sembuse CHADEMA??
Tatizo wajumbe... 😀 😀Uchaguzi huu ukiwa free and fair FAM hawez kushinda