Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
View: https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e
Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na kusikitisha sana..
Mtazame na msikilize mwenyewe kwenye video clip hii..
Huyu mwanamke ni jasiri kuliko hata Samia