Rose Mhando huwa namkuta kituo cha Mwanamboka Kinondoni

Syo hyooo diwani...mdg wake sasa

OVA
Nimekufuatilia mpaka hapa wewe ni muongo tena unatenda dhambi sana. Mtoto wa Mama Lwakatare diwani anaitwa Mutta na ndio last born! sasa huyo mdogo wake ni yupi? Kama hamuwajui watu msipende kuwazushia uwongo, ndio maana mnabaki kuwa maskini kila siku sababu ya kuwazushia watu uwongo. Nakushauri ubadilike mkuu. Maana hao watoto wa Mama Lwakatare unaowazushia kwanza huwajui alafu wenzako kimaisha washatusua yaani hawana njaa. Its better ukawa busy na mambo yako kuliko kuja kwenye mitandao kuchafua watu usiowajua.

Kweli nimeamini wabongo nuksi!
 
Msami unataka rose ajinyonge ndio roho yako itulie

Huyu dada kakukosea nini? Mbna umemfyonza vya kutosha?

Hiyo roho yako haina hata huruma?

Kwanini usmhurumie huyu mtoto wa kike?
Mbna hauli ligi na waimbaji wa kiume? Kwanini utumie udhaifu wa kike kumuangamiza rose?

Rose ana alibam zaid ya tano, ila anamiliki nyumba moja tu dodoma pesa zake we ndio unamamlaka nazo

Hata akipata mualiko unadai asilimia 70 ya pato

Acha roho hiyo, mhurumie huyo ni mtoto wa kike
 
Saafi kumbe tupo ambao tunaelewa hizi figisu anazofanya huyu msa.ma kwa huyu dada..Watu wengine wanaongea tu hawajui chochote..
Msa.ma ndiye anayetengeneza hizo story hakuna kitu kingine..
 
Kazi kweli kweli huyo msama aache hyo roho yake kwa Rose ka kweli anamfanyia figisu
 
Stress inampelekesha itakuwa..

OVA
 
Unataka nimtaje jina syo Lazima nimtaje humu...we utakuwa mgeni au huwajui watu

OVA
 
Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?

manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba

huko makanisani kuna nini?
Kuna binadamu kama wewe na mimi, Kama ulidhani mtu akienda kanisani anageuka Mungu ulikosea sana!
 
Unataka nimtaje jina syo Lazima nimtaje humu...we utakuwa mgeni au huwajui watu

OVA
Wewe ndio huwajui watu alafu nakusikitikia sana..sababu hao unaowazushia wana uwezo wa kukufunga.
Wewe ni bora ukae kimya tu, sababu hao kina Lwakatare huwajui!
 
Sawa....weee ndiyo unawajuaaa

OVA
Wewe ndio huwajui watu alafu nakusikitikia sana..sababu hao unaowazushia wana uwezo wa kukufunga.
Wewe ni bora ukae kimya tu, sababu hao kina Lwakatare huwajui!
 
Yaah naskia Mwanamboka anapenda sana wakati huo Lowassa ametangaza nia si ndo akaenda chadema kwa Mwamunyange kumuona kamanda Siro thubutu Makonda akapiga marufuku kuja dar,trump akashinda uchaguzi ndo Faru john akafa.
Kwa kweli nimejitahidi kadiri niwezavyo kuchekecha akili yangu nikuelewe lakini nimeshindwa ila nimecheka sana
 
Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?

manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba

huko makanisani kuna nini?
Kwani huoni hata aina ya muziki wao? Wapo wengi tu, muda utawaumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…