Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila mfupaaaa style.....
OVA
Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?
manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba
huko makanisani kuna nini?
Hebu weka vzuri habari yako mkuu....una maana kwamba Rose hapaswi kusubiria mwendo kasi kituoni ama ?Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila mfupaaaa style.....
OVA
Rose ni Mwanglikana na Waanglikana hawana msimamo mkali kwa vilevi na mengineyo hadi ushoga ume.....Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?
manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba
huko makanisani kuna nini?
Kuna moto.Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?
manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba
huko makanisani kuna nini?
Mkuu hatari sana tena namkutaga na yule motto wa mch lwak mtoto wake kikubwa wangalie namna gani ya kumsaudia...wengine Sisi tukizungumza issues hizi tuna data zaidi ya picha
Ova
Yaah naskia Mwanamboka anapenda sana wakati huo Lowassa ametangaza nia si ndo akaenda chadema kwa Mwamunyange kumuona kamanda Siro thubutu Makonda akapiga marufuku kuja dar,trump akashinda uchaguzi ndo Faru john akafa.Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila mfupaaaa style.....
OVA