Solomon Mukubwa ni wa kutoka DRC kama ni mnyarwanda ni mcongo hiyo ni juu yake kwa ufupi si MTz period.Ni watanzania. Ama ni wanyarwanda?
Usiombee yakupate ndugu yangu wewe walahi oohNgada ngada na kumkufuru kristo
binti mdogo neno walah linamaanisha niniUsiombee yakupate ndugu yangu wewe walahi ooh
Amejiroga mwenyewe!! Chakula ya nyoka hainaga masihara
ok msalimie faizafoxI swear, naapa View attachment 941699
Amepata alichokitafuta
ok msalimie faizafox
Kiswahili kinakusumbua rafikiUnamkana kisa karogwa? Haidhuru.
Nimeona hii kitu kwenye twitter account ya mtu. Nimefuatilia thread haina majibu. Jamani inatia huruma. Wenye habari please help ili tuju, tujifunze au tusaidie.
Asanteni kwa mrejesho