Rose Mhando: Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa

Rose Mhando: Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa

Ndiyo Msanii wa Kwanza Tanzania hii namsikia akisema Umri wake halisi.

Wenzao akina Wema Sepetu bado wanashikilia rekodi ya kuwa na umri usioongezeka wa miaka 28 tangu Rais akiwa JPM hadi leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan 🙌
 
"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"

"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando

View attachment 3027870
Huyo si wa kuoa, labda aolewe
mwanamke unawawekeaje masharti waoaji
ajitahidi tu apate mwanaume bwege
 
"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"

"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando

View attachment 3027870
Anatafute Mume at this age? Yeye aendelee kumtumikia mungu tu aachane na mambo ya Ma Rungu. Kila mtu abaki na wito wake.
 
Ndoa ni Sakrament takatifu,haimaanishi kwakuwa wewe ni balozi wa Mungu ushindwe kutimiza wajibu wako wa ndoa,kujifanya uko busy kumtumikia Mungu wakati mumeo humpi unyumba ipasavyo hiyo nayo ni dhambi...
 
Kuna kitu Rose Muhando hajakijua.
Mpaka sasa licha ya kumtumikia Mungu hajui Mungu anasema nini juu ya maisha yake.
Je, ni mtawa (hataolewa) hajui
Je, kafungwa na Ibilisi asiolewe ili aikose furaha, hajui pia.
Kila kwenye mahojiano yake lazima agusie kuwa yuko single na yuko tayari kwa ndoa
 
Back
Top Bottom