Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo si wa kuoa, labda aolewe"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
sure my loveWasanii wengi wanaoingia kwenye kuimba gospel hawana hofu ya Mungu wala wito
Wanaingia kuimba gospel kukimbia competition iliyopo kwenye bongo fleva
Muda utazidi kuwaumbua
Anatafute Mume at this age? Yeye aendelee kumtumikia mungu tu aachane na mambo ya Ma Rungu. Kila mtu abaki na wito wake."Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
Eh kumbe alikimbiwa 😂 mwanaume mpya kwa single maza haoi ila anaendeleza safari ya kuzalisha na kuacha
Ndo hivo keshawaambia kauonja utamu wa yesuYaani namaanishaa haja zake za kimwili ehee za kimwili anamalizia wAPI.anazini huyuu
Ni kitambo sana mkuu, zamani mno akiwa nahisi kwenye 10's au early 20's jamaa ikampachika halafu ikapita hiviEh kumbe alikimbiwa 😂 mwanaume mpya kwa single maza haoi ila anaendeleza safari ya kuzalisha na kuacha
Hao masista na mapadri wanawatoto itakuwa yeyeIs sex oxygen? Ukiyaendekeza ya ngono utatoa kauli kama hizo
Tunadanganyana hapaNdo hivo keshawaambia kauonja utamu wa yesu
Kakiri mwenyewe sasaTunadanganyana hapa
Kwahy kwa hili tumpongeze au siyo 😂Ndiyo Msanii wa Kwanza Tanzania hii namsikia akisema Umri wake halisi.
Wenzao akina Wema Sepetu bado wanashikilia rekodi ya kuwa na umri usioongezeka wa miaka 28 tangu Rais akiwa JPM hadi leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan 🙌
Tumpongeze Kwa kweli 😅Kwahy kwa hili tumpongeze au siyo 😂
Loose ball!😂😂Maana yake bado ana genye bimdashi pamoja na menopause. Anataka apigwe spana. Changamkeni wazee wa "loose ball". 😁