Rose Mhando: Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa

Rose Mhando: Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa

Labda wanaume type yake ndio watamtaka. Mwanaume wa kawaida mwenye kutaka kumuona mke wake kila akimhitaji hataweza masharti yake. Halafu huyo mwanaume atakayekubali masharti hayo atakuwa zoba. Hata kwenye maisha ya ndoa ya kikristo hayawezi ku obey law zake, hiyo ndoa itaparanganyika. Hawa wamama wakishafikia umri mkubwa bila ndoa huongea maneno ya ajabu kana kwamba wanataka ndoa ili waonekane ndoa wanazitaka ila wamekosa wanaume wa kuwaoa watakaotii matwakwa yao
 
Ktk maisha kama ukiona kitu hakiendi cha kwanza ni kujifanyia self evaluation, tatizo moja la wanawake wengi hawa ukubali ukweli na hata wakiambiwa wanajifanya vichwa ngumu na ndio maana wanawaacha na ujuaji wao.

Tatizo naamini ni yy,naamini ameshadate na wanaume wengi haiwezekani wote hao wa mwache lazima kuna changamoto ambayo yy anayo na hataki kubadilika.

Wapo wanwake wengi kama kama hawa wana hela,elimu,wana madaraka,maarufu nk,kilio chao ni kupata mume,ila hawapo tayari kuobey sababu ya viburi vyao.Watu wanapiga wanapita.
 
Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?

"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"

"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando

View attachment 3027870
Hawa waimbaji wa Injili wa kike nahisi wamechanganyokiwa linapokuja suala la ndoa.
 
Kuna kitu Rose Muhando hajakijua.
Mpaka sasa licha ya kumtumikia Mungu hajui Mungu anasema nini juu ya maisha yake.
Je, ni mtawa (hataolewa) hajui
Je, kafungwa na Ibilisi asiolewe ili aikose furaha, hajui pia.
Kila kwenye mahojiano yake lazima agusie kuwa yuko single na yuko tayari kwa ndoa
ndoa ni kama kipaji fulani hivi cha mahusiano ya unyumba, si kila mtu anacho ndio maana wengine wana kila kitu lakini hawana ndoa. Ndoa ina misingi yake, ndoa ni sadaka ya kujitoa kwa mwenzako kwa hali na mali. Ni upendo nkone tu ndio anaheshimu ndoa yake miongoni mwa waimbaji wa gospel wa kike
 
Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?

"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"

"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando

View attachment 3027870
Hata hivyo kupata mchumba Kwa dura hiyonni ndogo!
 
Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?

"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"

"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando

View attachment 3027870
Ameamua kuishi maisha anayoyapenda.
 
Back
Top Bottom