Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hawa ni wasanii wa kitabu cha Injili sio waimba InjiliWasanii wengi wanaoingia kwenye kuimba gospel hawana hofu ya Mungu wala wito
Wanaingia kuimba gospel kukimbia competition iliyopo kwenye bongo fleva
Muda utazidi kuwaumbua
Haa umenikumbusha kuruka msambaAnatafute Mume at this age? Yeye aendelee kumtumikia mungu tu aachane na mambo ya Ma Rungu. Kila mtu abaki na wito wake.
Ndo maana sipendi wanawake wanaojifanya wafia dini. They do alot of ujinga behind the scenesWasanii wengi wanaoingia kwenye kuimba gospel hawana hofu ya Mungu wala wito
Wanaingia kuimba gospel kukimbia competition iliyopo kwenye bongo fleva
Muda utazidi kuwaumbua
Na sisi hatukupendi🤸Ndo maana sipendi wanawake wanaojifanya wafia dini. They do alot of ujinga behind the scenes
Sio case.Na sisi hatukupendi🤸
Huyu si ameolewa Kahama majuzi"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
Hata mimi niliona picha ikionyesha ameenda kuchumbiwa inamaana ilikuwa vunga fala Kwa jamuHuyu si ameolewa Kahama majuzi
Basi atakuwa na matatizoKakiri mwenyewe sasa
mkuu mpaka sasa una hela ngapi kwa accounts au total wealth?Ni mrushaji wa zile ndege za kanji, almaarufu kama AVIATOR
KWann mkuumkuu mpaka sasa una hela ngapi kwa accounts au total wealth?
nimeona hapo wewe ni billionaire.KWann mkuu
Dah, Sina chochote mkuunimeona hapo wewe ni billionaire.
Athibitishe kwamba huyo Mungu yupo kwanza."Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
Mkuu Bora umekujaAthibitishe kwamba huyo Mungu yupo kwanza.
Ana haki ya kuamini anavyotaka, lakini, factually, hajathibitisha Mungu yupo.Mkuu Bora umekuja
anha nikajua na wewe upo kwa list ile ya mabilionaire 5000 waliopo tz...Dah, Sina chochote mkuu
Mkuu hata kwenye milioni 30 naweza nisiwemoanha nikajua na wewe upo kwa list ile ya mabilionaire 5000 waliopo tz...