Rose Mhando: Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa

Huyu si ameolewa Kahama majuzi
 
Athibitishe kwamba huyo Mungu yupo kwanza.
 
Watu mnapenda sana kujaji maisha ya watu. Kuishi ni kuchagua, kila mtu na maisha yake, binafsi hayo mambo ya serious relationship nimejaribu nimeshindwa nimeamua tu lolote na liwe. Usiingie kwenye mahusiano na mtu kama mitazamo tofauti. Mambo ya kuwapangia watu maisha ni uvivu wa kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…