hearsay storiesHao masista na mapadri wanawatoto itakuwa yeye
Hawa waimbaji wa Injili wa kike nahisi wamechanganyokiwa linapokuja suala la ndoa.Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?
"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
Dah! Mwanangu ndo nipige maza ana 50, sina ukame huo. Mlenda mtupu hapo.
ndoa ni kama kipaji fulani hivi cha mahusiano ya unyumba, si kila mtu anacho ndio maana wengine wana kila kitu lakini hawana ndoa. Ndoa ina misingi yake, ndoa ni sadaka ya kujitoa kwa mwenzako kwa hali na mali. Ni upendo nkone tu ndio anaheshimu ndoa yake miongoni mwa waimbaji wa gospel wa kikeKuna kitu Rose Muhando hajakijua.
Mpaka sasa licha ya kumtumikia Mungu hajui Mungu anasema nini juu ya maisha yake.
Je, ni mtawa (hataolewa) hajui
Je, kafungwa na Ibilisi asiolewe ili aikose furaha, hajui pia.
Kila kwenye mahojiano yake lazima agusie kuwa yuko single na yuko tayari kwa ndoa
Mbunye yake ina chembe chembe za coccaine.. nan aoe teja!?Maana yake bado ana genye bimdashi pamoja na menopause. Anataka apigwe spana. Changamkeni wazee wa "loose ball". 😁
Hata hivyo kupata mchumba Kwa dura hiyonni ndogo!Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?
"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
Ameamua kuishi maisha anayoyapenda.Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando?
"Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi kwanza ajue kabisa kwamba anaoa balozi wa Mungu, asiniwekee mipaka, mimi nahubiri Injili nchi mbalimbali duniani kwahiyo mara nyingi nakuwa sipo nyumbani"
"Awe mvumilivu na mstahimilivu, aelewe ameoa mwanamke wa aina gani, tatizo kubwa ni kwamba sio rahisi kumpata mwanaume wa aina hiyo kwa kizazi cha sasa"-Rose Muhando
View attachment 3027870
wanawake wanaojifanya wainjilishaji ni sanaa sanaHata mimi niliona picha ikionyesha ameenda kuchumbiwa inamaana ilikuwa vunga fala Kwa jamu
Kila kiungo cha mwadamu kina kazi zaidi ya Moja mfano dudu ni please teacher am going to make churuuu! or pupuuu!wanawake wanaojifanya wainjilishaji ni sanaa sana