Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Kila Mkristo atambue hili. Ukimkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha yako, tayari umetangaza vita na shetani na mawakala wake.
Hata kama alihubiriwa upendo akaukuta haupo......je, yeye mwenyewe hana imani?
Harejei Biblia inavyosema? Bureee kabisa!
Bora angesema anarudi kwa sababu za kiimani zaidi hapo ningemuelewa maana kila mtu anafuata kile alichokiona kwamba ndio sahihi.