Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Msanii wa bongo movies Rose Ndauka amerudi kwa mama yake kigogo baada ya kugundua mchumba wake aliyekuwa anaishi naye na baba wa mtoto,kuwajaza mimba wanawake wawili tofauti.
Mchumba huyo Malick Bandawe amewajaza mimba wanawake hao mimba na tayari wamejifungua.Baada ya kugundua ilo Msanii Rose Ndauka akafungasha virago na kurudi kwao.
Mchumba huyo Malick Bandawe amewajaza mimba wanawake hao mimba na tayari wamejifungua.Baada ya kugundua ilo Msanii Rose Ndauka akafungasha virago na kurudi kwao.