Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Wadada wa bongo movie wakikosaga wakuwapa hata offer ya soda wanaanzaga kujisemelesha hawataki wanaume kumbe soko ndio hawana
 
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa kwa sasa yupo bize na malezi ya mwanaye hivyo hana mpango wa kuwa na mwanaume yeyote hata awe pedeshee mwenye uwezo wa fedha kiasi gani kwani mwenyewe anajitosheleza.

geor davie Akipiga stori na paparazi wetu alisema , kipindi hiki hafagilii kabisa mambo ya mabwana na wala hahitaji mapedeshee kwa kuwa yeye mwenyewe ana uwezo wa kujitosheleza kifedha. “Mimi sina bwana kwa sasa na wala sihitaji hao mapedeshee , watanisaidia nini wakati nafanya kazi zangu zinazoweza kuniingizia fedha , nina akili timamu, nina miguu na nina macho sasa kwa nini nitegemee pesa ya mtu?” alihoji Rose. Kwa mara ya kwanza.

Vizuri mrembo
 
Rose ni mzuri natural kuliko hata mama ubaya, sema mama ubaya kawazidi wenzie maswaga ya kufa mtu, wema ana swaga anajua kujibeba

Tupishe na wema wako hapaaaa mfyuuu
 
Ana macho mazuri na ta.......ko

Daah mkuu unamlinganisha na wazungu nini, rose kwa bongo ni flat screen sema ana reception nzuri, au uliona picha amejaladia matambala?
 
Back
Top Bottom