Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii weraaa weraaaaaaa na hawa wanaume ukimpata wa hivyo hujamroga shukuruuuuu

Yan wewe binamu msukuma wako unavyomuonea, mpaka sasa ivi uko macho, huu sio umbea binamu
 
Yan wewe binamu msukuma wako unavyomuonea, mpaka sasa ivi uko macho, huu sio umbea binamu

Naweeee unataka tu nilimitiwe muda wa kulala,juzi ulisema sipo nyumbanii nimechelewa kurudii,nikaulizwaaaa ,weee usimpe preshaaaa msukuma wanguuu weeee
 
Rose aje kwangu me sio pedeshee,inaonekana mapedeshee wanawaumiza sana hawa mabinti wanaojifanya wao watoto wa mjini
 
Haha makubwa,Kumbe ukizaloshwa ladha inapungua??! 😉

Ndo nashangaa...watu tunafakamia magwiji wa kuchoropoa mpaka wakati wa "chimbua chimbua" mji wa mimba unarudisha mwangwi na ladha iko palepale.
 
Mkongo uko wapiiiii kina mwingine huku anakuponda
 
Siku izi shoga ako ana mihela hatar, ndomo akaoge, anapenda watoto wazuri halafu analeta ubahiri, apo hakuna Ndoa wala bakuli

Siku hiz unalala mapema eeee
 
Back
Top Bottom