Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Rose Ndauka: Sifagilii tena Wanaume

Daah mkuu unamlinganisha na wazungu nini, rose kwa bongo ni flat screen sema ana reception nzuri, au uliona picha amejaladia matambala?

Mkuu we hujaona hips?
 
Rose ni mzuri natural kuliko hata mama ubaya, sema mama ubaya kawazidi wenzie maswaga ya kufa mtu, wema ana swaga anajua kujibeba

Warumi uko sahihi kabisa...penye ukweli tuseme jamani...wema anajua kuvaa ni fashionista wa ukweli lakini huyo rose ndauka sijamuonaga akipendeza..kwanza mawigi yake naona ni yale ya elfu 7...anaweza akavaa kigauni kizuri hatari ukiona kiatu sasa....kibaya hatariii.
 
Warumi uko sahihi kabisa...penye ukweli tuseme jamani...wema anajua kuvaa ni fashionista wa ukweli lakini huyo rose ndauka sijamuonaga akipendeza..kwanza mawigi yake naona ni yale ya elfu 7...anaweza akavaa kigauni kizuri hatari ukiona kiatu sasa....kibaya hatariii.

Hhhhhaaaaa na lile pozi lake la nyonyo wazii utamtakaa
 
Warumi uko sahihi kabisa...penye ukweli tuseme jamani...wema anajua kuvaa ni fashionista wa ukweli lakini huyo rose ndauka sijamuonaga akipendeza..kwanza mawigi yake naona ni yale ya elfu 7...anaweza akavaa kigauni kizuri hatari ukiona kiatu sasa....kibaya hatariii.

Hivi huwa inakuwaje jamani.....unakuta mdada/mama mzuriiiii lakini yukoyuko tu hata hajitambui/hajijali!
 
Back
Top Bottom